Kwani akikuacha ndio nini,huyo Mwanaume ni Mungu? Labda kama na wewe ni kula kulala,hujatengeneza mazingira ya kuwa na future yako mwenyewe,huna plan B.
Hiyo idadi iliyotajwa kumbuka inajumuisha hata mtoto mchanga wa kike aliyezaliwa usiku huo wa Sensa je wao utawaweka katika kundi linalohitaji kuolewa?
Kumbuka watoto wote wa kike chini ya miaka 18 Tanzania nao wamejumuishwa kwenye hiyo idadi.
Nadhani kuhusisha swala la wanawake kuto olewa...
Nilimuona huyu Prezoo anahojiwa na Mboni,akasema kwamba alimpa pesa Alicia Keys,lakini Alicia Keys akakataa akamwambia akawape maskini,
kwa hiyo yeye Prezoo hakupenda hicho kitu alimmind A.Keys!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.