Huyo mwanaume ni mbinafsi kosa akifanya yeye sawa akifanya mkewe ndo analiona kosa! Yeye ameenda amepiga nje bila hata condom, hadi mtoto amezaliwa anachukulia poa tu, still anaendelea na huyo mwanamke eti anahalalisha ukewenza nani atakubali upuuzi huo? Unadhani kulala ndani ya nyumba ndo nini...
Mbegu zake pia ni dawa zinaondoa sumu mwilini
Unatafuna hizo mbegu asubuhi,mchana na jioni unakunywa na maji mengi
Maji mengi zinakata mafuta kwa wale wanaopenda kupungua
Pole sana dada, Usiondoke kwa huyo mwanaume,
Kama mmefunga ndoa, ww mpotezee tu ili msaidiane kulea
Watoto, kama unafanya kazi kuwa bize na kazi, kuhusu sex mkapime then mtumie condom maana atakuletea gonjwa huyo, wanaume huwa hawafikirii watoto kazi ni kufungua zipu tu, mpotezee huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.