Jamani kuna mzigo usione bebeka wilaya ya mwanga kilimanjaro ahad kibao miaka kumi sasa hakuna cha maana alichofanya. Huyu ni Jamani Maghembe sijui huo u Prof aliupataje? Kwa kweli tumemchoka hata kumuona huyu mtu sitaki, maji, barabarani, hospitali na huduma zingine hakuna kimya Ni usanii tu na...
Lazima tukubaliane nao hata kama hakuna sheria ila inakuwa imekiuka makubaliano, soma hapa
Berman calls on Tanzanian President to cancel re-flagging of Iranian Vessels; Warns U.S. Assistance in Jeopardy - wavuti
Ni kwenye million 78 sio billion
UNIFORM ZA SHIRIKA LA NDEGE LA ATCL NCHINI ZILIGHARIMU 77,322,000/= | MPEKUZI
http://millardayo.com/ufisadi-mwingine-wa-atcl-uliowekwa-hadharani-na-mwakyembe/
Kwa jinsi Serikali yetu ilivyo itachukuwa miaka mingi sana huduma kufika huko. Zile habari zilikuwa za kuwapoza waathirika wa mafuriko, hautasikia tena ndio imetoka. Maeneo mengine mjini kabisa hayana hizo huduma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.