hakuna kinachofurahisha juu ya ccm,angalia hali za wafanyakazi wa uma.mashule,vituo vya polisi nk.hakuna kinachofurahisha.ndiyo maana ukishangilia ccm unaonekana km vile punguani.nchi za wenzentu serikal zinabadilika mara kwa mara ndiyo maana maendeleo yanaonekana pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.