Nahitaji brand new laptop.
napendelea sana HP Nyeupe.
specifications
1. Internal memory ya 500GB hard disk
2. Ram ya 16GB ama 32GB
3. Core i 7
4. Graphic card
5. Touch screen
Na mengine ambayo siyajui maake sio mtaalamu sana najua basic zake.
Kikubwa ninamatumizi makubwa so I need a...
Inafuatana unataka kufanya nini!
pia kuna tofauti sana kati ya kujitenga na mazingira uliyozoea katika utafutaji.
unapokuwa ugenini muda mwingi unaweza utumia effectively na outlet za pesa zikawa kidogo sana.
So strategy zako zinazokutoa hapa ndio zitakazo kupeleka mbali.
Inshort Tanzania...
Mfalmewakiha.
usione watu wanaingia jf ukadhani wote matapeli ama wanasiasa uchwara.
Mimi nipo JF since 2011 na jitahidi kabla hujacomment ujinga soma hata background ya huyo unayetaka kumuongelea ili upate ABC zake
Nimekuangalia ndio kwanza umejiunga 2017 halafu unapost 506 mimi nimejiunga...
Tunatatizo kwenye akili zetu hasa watanzania....japo afrika kwa ujumla.
Wenzetu dream za kwenda kuishi mahali ni za kawaida sana.
Ni kitu cha kawaida sana kusema nataka shughuli zangu nizipeleke huku.
Lakini eti unamwambia utoto....so kuhama nchi ni utoto?
wewe unapenda kuona wakenya...
So kama huna kiwanja hadi sasa utaishi kwenye nyumba za kupanga hadi ufe?
Kutoka posta hadi Bunju ni 40km but sijui kama unalijua hilo?
Pili kuna wafanya kazi wa kigamboni municipal, kiwanda cha cement kimbiji, wafanya kazi wa viwandani kigamboni.
Tatu wafanya kazi wengi post wameopt kuishi...
Nauza viwanja PUNA kigamboni ni vilivvyopimwa.
Hati unaweza pewa msaada wakuchukuliwa kwa makubaliano maalum ndani ya miezi 2 unakuwa umepata hati.
Viwanja vinaukubwa wa 600sqm hadi 1000sqm.
Vipo 1KM kutoka bahari ilipo.
Barabara kubwa nzuri pia za mtaa zimechongwa.
umeme tayari upo.
Bei ni...
Si kweli mkuu! Nchi yoyote inavyuo mama.
Je kwa nafasi ya UDSM unaona ni sahihi kutokuwa na kozi za tiba?
to mi nilikuwa nategemea udsm ipeqe heshima kwa kuwa na fani zenye umuhimu kwa ustawi wa jamii.
Nimeibiwa laptop Hp nyeupe jana 14.11.2017 maeneo ya kigamboni.
Please kwa yeyote yule aliyeiba ama la.
Naomba kuuziwa tena hiyo laptop kwani mali iliyobeba ni zaidi ya maisha yangu.
Nitakachoweza ni kuinunua tena kwa namna yoyote ile.
Call 0714227532 ama whatsAp 0627911500.
Magari mengi masafa marefu huwa na trailer.....sasa sijui uchuro gani hapo?
Ukitoka Joburg unaenda Lusaka ama Lilongwe yote yako hivyo na hakuna ajali za mara kwa mara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.