Search results

  1. Dada D

    Propaganda (uzushi) maarufu kuhusu kupunguza uzito (unene) na vyakula (diet)

    Shukrani sana kwa somo [emoji120][emoji120] nimekuelewa
  2. Dada D

    Mke anahitajika

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Dada D

    Tabia 9 zinazokimbiza Wateja wako

    [emoji23][emoji23]
  4. Dada D

    Jinsi vijana wanavyotengeneza pesa kila siku kwa kutengeza maudhui TikTok

    Only fans ndio nataka kuijua maana hata Tik tok sijawahi jiunga
  5. Dada D

    Buriani Rosemary Kambarage Nyerere

    Hongera sana
  6. Dada D

    Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

    Mungu muweza wa yote naomba haki itendeke na kupatikana kwa wanaostaili .
  7. Dada D

    Msaada: Nimepata dharura nahitaji Mkopo wa milion mbili, nitarudisha baada ya mwezi mmoja kwa riba ya 20%

    Ungekuwa unauza hicho kiwanja angalau ila kukopeshana hapana Ila ukitatua changamoto zako nitafute uingie sehemu ambayo ikiwa na dharura unapata ela Ukihitaji mtaji unapata hela
  8. Dada D

    Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

    Tuache wivu , tuige mazuri na kuyafanyia kazi.
  9. Dada D

    Viongozi acheni ubinafsi, mnamchukiza Mungu

    Kuna majamaa walishaliona hilo wakaona waanze kulifanyia kazi kwa kuanza na KATIBA MPYA lakini hao wabinafsi wakaamua kusema kiongozi wa wanaotaka KATIBA MPYA ni gaidi wamemkamata Wamesahau athari ya kusema nchi ina GAIDI ni kubwa Kwa vile hata wageni hawatakuja kwa vile TZ kuna magaidi Bora...
  10. Dada D

    #COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

    JPM angekuwepo tusingekuwa na habari za Corona maana huku tulishatoka Tunarudishana nyuma tu Ona sasa asilimia kubwa hakuna mtu anayefata agizo la kuvaa baracoa, kunawa mikono, level seat Yote kwa yote amua unachotaka wewe binafsi kuhusu Corona kwa vile ni Hiyari hususan chanjo
  11. Dada D

    Hivi hizi unawekeza sijui wanyama au kilimo ndo njia ya DESI

    Nami nimeliona Vanilla kg 1 ni Tsh.1,000,000/= wanahitaji uwekeze Nikaona na kusikia tena wanakupa shamba bure sijui ndio haohao Hii serikali yetu aieleweki mtu anaweza kuplan biashara yake akaifanyia kazi vema mwisho wanachukua ela kiulaini Mfano mr.kuku Je Mr. Kuku hadi alifikia hatua ya...
  12. Dada D

    Njombe: Mtoto adaiwa kumuua mama yake mzazi kisa mali

    Kubadilika muhimu, kwa sasa wachaga na wamasai wanawamikikisha watoto wao wa kike Kama makabila haya wameweza kumpa mtoto hurisi hasa wachaga na wa masai basi wengine wataweza ni elimu inahitajika ili wabadilike
  13. Dada D

    Hivi ni sahihi kuanzisha kanisa unapohisi una upako?

    Chris Mauki ana deal zaidi kwenye mahusiano, mafanikio zaidi Joel Nanauka, James n.k
  14. Dada D

    Huu ni mwaka wangu wa mwisho kuajiriwa

    Hongera kwa uwamuzi naotaka kuchukua, kwenye maisha inabidi uthubutu hakuna kuogopa. Pia kama unaweza kupata hizo m4 ukatafuta na watenda kazi wakaanza kufanya hicho unachotaka kufanya halafu mke akawa anawasimamia na kwenda mara kwa mara mpaka hapo mambo yatakavyoenda vizuri Ndio uamue kuacha...
Back
Top Bottom