Haya mambo watu wanachukulia kirahisi sana,kuliko kuishi na uchungu na kumchukia mtu ni bora mpeane nafasi, hata akimpeleka mtoto kwa baba yake haitafuta ukweli kuwa alipewa mimba na mwanaume mwingine wakati yuko kwenye ndoa
Wakuu nakuja kwenu nikiomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kupakua cheti cha uviko 19 baada ya kupata chanjo na kupewa ile kadi ya kumbukumbu ila bado sijapata kile cha kidigitali naomba msaada wa anayefahamu jinsi ya kukipata
Yaani kuna watu tumepitia magumu sana maishani halafu mtu anatokea mtu ana conclude kuwa single mothers hawafai sijui nini huwa napata hasira sana,bila mama yangu sijui tungekuwa wapi[emoji36]
Hapo tutawaonea tu single mothers wengine tuliishii na wazazi wote wawili lakini sijawahi kuonja upendo wa baba kwenye maisha yangu , Kiukweli nakumkumbuka mama yangu (RIP), alipambana mpaka sisi kufika hapa tulipo, baba alikuwa hajali umevaa nini, shule umeenda au haujaenda, ada mpaka usali...
Ustaarabu kwa sisi dunia ya tatu ni changamoto kubwa sana, kumbuka aliyechafua ni abiria mwenzako aliyetangulia kutumia chombo hicho cha usafiri,Abiria wenyewe sio wastaarabu unakuta mtu anakula ndizi ganda anatupa ndani ya gari, anakula karanga, mahindi magunzi anaacha ndani ya gari. Mfano haya...
Ila wanaopewa msaada wakati mwingine ndio wanasababisha watu wengine wasisaidiwe,Kuna mmoja nilishuhudia kwenye daladala kapishwa kwenye kiti akae, sasa yule aliyempisha alikuwa na begi la Laptop amebeba akawa ameliweka karibu na kiti alichopisha yule Mama, yaani bila aibu akawa anamsukuma yule...
Kuna dada yeye aliokota hereni ya dhahabu ilikuwa moja pembezoni mwa njia, akaichukua akarudi nayo nyumbani ili aipeleke kwa sonara, alijuta sio kwa vitisho alivyokuwa Napata usiku kuna watu walikuwa wanamfuata (hii ni kulingana na maelezo yake)wanataka hereni yao na irudishe palepale...
Ndio maana nimesema kuna watu hawataki kutimiza majukumu yao, inawezekana akawa ni ndugu yako kwenye familia,ukoo, rafiki na n.k, hivyo tuache kuwalaumu na kuwanyoonyea vidole hata wao hawakupenda iwe hivyo,kuliko kuandika thread yenye maneno makali na kuwalaumu ni bora kuombea familia yako...
kazi kwelikweli ila jamani tuwe tunaweka akiba maneno yetu badala ya kuwanyooshea vidole wenzetu tujiangalie na sisi tunatimiza wajibu wetu, hao single mother hawajatokea tu hewani , kumbuka hao tunawaita single mother ni dada wa mtu, mama wa mtu na n.k
Kwahiyo hata wenye ngozi za mafuta wanapaka hayo mafuta ya Nazi?, Maana hujatoa utaratibu yanapakwaje,Usije ukasababisha majanga maana umesema kwa ujumla bila kudadavua mtu mwenye ngozi aina gani ana tumia kwa kiwango gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.