Unaogopa kufanya jambo la kujitetea ili maslahi yaongezeke kisa unalinda kibarua, hiyo ni akili au matope? Wewe utaendelea kupigia makofi akina KIBAJAJI huku ukiishi kwenye lindi la ufukara MILELE.
Mawazo ya kimasikini haya, ndio maana serikali yenu inawachezea sana. Mnakalishwa miaka kadhaa bila ongezeko la mishahara sababu ya uwepo wa wajinga kama ninyi.
Elimu ya mapolisi inajulikana, acha ukuda. Halafu kuifira maiti ni uthibitisho wa akili ndogo na matumizi ya bange kwa mapolisi, sirro amewaharibu sana huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.