Kama New Habari hawajalipwa, ya nini kulalamika? Take action! Kulalama si suluhisho la matatizo. Unalalamika af kila siku saa moja unusu asubuhi umeingia ofisini??? Ndiyo maana mishahara hailipwi coz mnaonekana bado mna uwezo wa ku-survive bila kulipwa. AMUA moja kubaki kimya au kuondoka na...
Waandishi hawatakuwa huru Tanzania hadi siku watakapoamua kuwa huru. Hoyce kasema jambo la msingi sana, kila Media House ina policy zake. Ukienda IPP, Mwananchi, Uhuru etc kuna miiko yake. So ukikubaliana na sera unasaini mkataba kama vp acha saka kazi nyingine. Full stop!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.