Search results

  1. T

    Kufanya masters/PhD vs kusoma vitabu kipi Bora?

    Binafsi nakubaliana kabisa na wazo lako mkuu, kimsingi mada si uliyoyapata kulingana na unachokijua ambacho umejifunza kupitia vitabu, Jambo la msingi na la kuzingatia ni kuwa SHULE(degree,Phd nk) pekee havitoshi kumfanya mtu awe na hiyo power anayoihitaji (competent) kwenye Jambo Fulani bali...
  2. T

    Kwanini classic girls wengi wanakuwa wamevaa pete?

    Hauna Confidence ya kutosha Mzee, pambana kulifanyia kazi hilo kwanza.
  3. T

    Kukamatwa, kupigwa risasi Lissu: Chama cha Wanasheria Uingereza chamlima barua Rais Magufuli

    Inabidi ifike kipindi tubadirike, tusing'ang'anie aina moja ya mawazo kwani hakuna mkamilifu katika uumbwaji, kama umefanya kosa yakupasa kukubali na kujirekebisha ili mambo yasonge. haina haja ya kuishi maish Inabidi ifike kipindi tubadirike, tusing'ang'anie aina moja ya mawazo kwani hakuna...
  4. T

    Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

    Ngoja nami nikupe fact, September 7, 2017 wakati Lissu anashambuliwa kwa risasi nyumbani kwake Área D mjini dodoma raisi alikuwa.......! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. T

    Sirro: Jambazi aliyevamia gari ya fedha Kurasini, alikufa akisema Allah U Akbar

    Kusema Allahu Akbar si kuomba msamaha kwa Mungu bali ni kumtakasa Mungu kama haujui ni bora upige kimya.
  6. T

    Hii ni dharau kubwa sana aliyoifanya mkuu wa mkoa wa DSM dhidi ya waziri wa habari na michezo Mh Nap

    I am uncertain with your true ability of thinking and processing things....! You must be an alien from out space.
  7. T

    Zitto: Waliomsindikiza RC Makonda ni walinzi maalum, kibali hutolewa na Rais au DG TISS

    Tusiwe na maneno mengi katika hili, tukae, tupange na tuamue kama wanaume. Nadhani kwa tulipo sasa tunahitaji kufanyia kazi maamuzi ya kundi la wanaume wenye msimamo.
  8. T

    Bodi ya Mikopo (HESLB) imeanza rasmi kukata 15% kwenye mshahara

    Nina mashaka na uwezo wako wa kuchakata mambo kifikra.
  9. T

    Bodi ya Mikopo (HESLB) imeanza rasmi kukata 15% kwenye mshahara

    Ishu si uoga mkuu, ishu ni kukosekana kwa Utengano wa kimamlaka/nguvu (separation of power) kitu ambacho kinafanya kundi kubwa la watu kutojua nani ni nani na huyu mipaka yake ni ipi katika utendaji, tumekuwa mashuhuda wa kuimarika kwa muhimili mmoja dhidi ya mingine jambo linalofanya tulio...
  10. T

    Bodi ya Mikopo (HESLB) imeanza rasmi kukata 15% kwenye mshahara

    Kama ishu ingekuwa ni kulipa deni pekee bila riba uwenda kungekuwa na nafuu kidogo, Ila hii asilimia 6 wanayoiita Tozo la Kulinda Thamani ya Pesa ndio mzigo kwa wadaiwa. Tukutane twente twente. Naomba kuwasilisha.
  11. T

    Bodi ya Mikopo (HESLB) imeanza rasmi kukata 15% kwenye mshahara

    Mi nadhani wewe ndio unafikiria kijinga na pengine haujui falsafa zinazoongoza masuala ya fedha. Tafuta elimu kwanza.
  12. T

    Jina la Mkuu limepotea JF

    Hahahaha, uko sahihi kabisa ila kwa uelewa wangu mdogo nahisi mwenye jina kapatikana na hana masihara hata kidogo, pengine ndio jambo linalotuhofisha kuendelea kulitumia. Naomba kuwasilisha.
  13. T

    Tatizo la kutoa shahawa zenye mchanganyiko na damu

    Fanyia kazi ushauri huu kwasababu ukizidi/akizidi kuchelewa kuchukua hatua za kitabibu uwenda tatizo likakomaa na kuleta Athari kubwa zaidi. Hata kama kuna daktari humu nina uhakika hatoweza kukupa jibu la moja kwa moja bila ama maelezo ya kutosha au vipimo. Nenda/Nendeni hospitali ndugu.
  14. T

    Jeuri vs kusudi

    Hapo suluhu ni flyover.
  15. T

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    MTI WENYE MATUNDA NDIO UNAOPIGWA MAWE, SHIKA IMANI YAKO NISHIKE IMANI YANGU, TUTAKUTANA MBELE ZA MUNGU MAANA YEYE NDIE HAKI NA KWELI. Allahu Akbar.
  16. T

    Waislamu watoa tamko, kusomwa kila Msikiti Ijumaa

    Naamini katika uongozi bila misingi ya Dini, kwani hata katiba inasema serikali haina dini, Kwanini maslai binafsi ya kiimani yanachanganywa na siasa,? ifike wakati tubadilike, tuheshimiane, na tupendane kutokana na mipaka ya dini zetu kwani kwa kufanya hivyo tutaishi kwa Amani...!
Back
Top Bottom