Meya wa Manispaa ya Ilemela mkoani Mkoani Mwanza Henry Matata amesema kuwa uamuzi wa kuwafukuza madiwani watatu wa CHADEMA katika manipaa hiyo, upo pale pale.
Madiwani hao wamekumbwa na sokomoko hilo, kutokana na kushindwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo bila idhini ya mwenyekiti ambaye ni...
Kama taarifa hii ni ya kweli basi mpaka kufikia 2015 Chadema wanaweza wasiwe na kiti cha Ubunge hata kimoja. Haiwezekani kila kukicha tupate taarifa za watu kukihama chama hiko na kisha tuendelee kujipa imani kuwa kipo salama na kitavuka bahari pamoja na mawimbi haya mazito ambayo chombo chao...
HILI nalo neno.,jamaa wameweka wachumia tumbo hapa JF hawachoki wala hawapumziki.,ukiweka post tuu kuhusu Slaa utakiona cha mtemakuni. Hii ni balaa..,sasa swali langu ni kwamba katika hiyo list ya watumishi wa chadema mitandaoni mods wapo pia..?
Kukamatwa na kushitakiwa kwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) Wilfred Lwakatare, akituhumiwa kupanga mipango ya kigaidi, kumeyapa nguvu madai ya muda mrefu ya Chama Cha Mapunduzi (CCM) kwamba chama hicho kimekuwa kikitekeleza mipango ya kigaidi kwa...
Niliwahi kuandika sehemu juu ya waandishi na Uandishi.,wahariri na Uhariri.., nikagundua kuwa katika maeneo mengi duniani kuna kurandana/kufanana kukubwa baina ya viwili hivyo isipokuwa hapa kwetu Tanzania viwili hivyo viko mbalimbali kabisa.,hakuna mfanano wa namna yeyote baina ya waandishi na...
"hapo kwenye red" kama ni hivyo basi mfumo na muundo huo wa chama haufai ni lazima kuubadilisha.,kivipi chama ambacho ni kiongozi wa vyama vingine vya siasa vya upinzani kisiwe na muundo ambao unaruhusu na umeweka demarcation katika utendaji wa viongozi wake. Ni lazima kuwe na mipaka katika...
Kilichokuwepo ni kuwa siasa za wanaharakati wa Dar zimefunika kazi za siasa za viongozi wa chadema.,wengi wanahisi kuwa kazi zao zinafanywa na wengine.
Lakini kimsingi viongozi wa chadema hawajui majukumu yao halisi.,kwani chama cha siasa kina utaratibu wa kufanya kazi zake kisiasa. lakini...
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu lissu amewaponda viongozi wa CHADEMA Mkoani Dar es salaam kuwa wameshindwa kufanya kazi za siasa za kukijenga chama hiko. Aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika jimbo la Segerea, mkutano ambao ulihudhiriwa na...
Nilitegemea kuona kauli na matamko kama haya yakitolewa na vyama vingine kama chadema na vingine kama ilivyokuwa kwa mwangosi na wengineo. ila ukimya wao unatoa picha tofauti na tafsir zisizo na majibu ya moja kwa moja.
Kikao Cha Baraza Kuu la UVCCM kinachoendelea hivi leo katika ukumbi wa whitehouse kimechelewa kuanza mpaka sasa kutokana na majadiliano yaliyozuka baina ya Wenyeviti wa Vijana wa Mikoa pamoja na Wajumbe wa Baraza kuu wakiwakilisha mikoa. Majadiliano hayo yanakuja baada ya tukio la Mwenyekiti wa...
Hizi ni siasa za uchonganishi ambazo wamekuja nazo CCM na bila shaka haya ni maazimio ya mkutano mkuu wao.,iweje TO anataka kuaminisha watu kuwa Mheshimiwa Zitto ameacha kuhudhuria kwa makusudi...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.