Ndugu zangu watz,naomba tuelewe kitu kimoja,hakuna sheria nchini inayomzuia mtanzania kuwekeza pesa zake uswis au nje ya nchi.kwenda kuweka fedha nje ni suala la kawaida kabisa kwa wenzetu hata nchi zinazoendelea,nachelea kusema,hii wala sio swala la kutuumiza kichwa.
Cha kwanza hizo pesa...
Mmechambua vizuri na mimi naungana na nyie.Kwa maoni yangu CCM bado wana nafasi kubwa sana ya kuendelea kuliongoza taifa kwa miaka mingi ijayo, kinachotakiwa tu ni kukemea vitendo vichafu kama ufisadi,rushwa na matumizi mabaya ya madaraka.
Nilifarijika sana kuona Mhando kasimamishwa kazi...
Ovyooo.hawa jamaa unaowasifia ni ovyo sana,kwanza sifa ya kiongozi mzuri anatakiwa awe intelligent,na msimamizi mzuri wa hoja.
Heche ni mtupu kichwan kasoma SAUT kwa kuungunga sana mpaka kumaliza,kama ndo hazina za cdm basi cdm nayo ni hoi kwelikweli.
Mtoa mada wewe ndo hujasoma,i guess ni mjinga wa mwisho,mtu kusoma si lazima asome kipindi kile unakijua wewe,jamaa kasoma kajiendeleza na ana shahada ya mambo ya siasa na uongozi,kuna vyuo vingi kwa sasa kama open university.usikalili mkuu
CCM inazidi kuimarika,hii imedhihirishwa na chaguzi ndogo za madiwan zilizomalizika hivi juzi,pamoja na kelele nyingi bado wananchi wana iman kubwa na chama chao,mambo yaliyofanywa na ccm ni mengi na makubwa,na bado inasonga mbele,kikubwa zaidi ni utulivu wa nchi pamoja na watu wachache kutaka...
Hawa wabunge wa kuokoteleza ndo tatizo,poor IQ,hasomi vitu kazi kukurupuka.Unapokuwa mwakilishi wa wananchi unatakiwa kuwa current and whatever you speak,you have to be sure.Ona ashapotosha watu tayari.shame on you
Mdau Mkurugenzi wa jiji huwa hagawi ardhi,chombo kinachogawa ardhi ni Kamati ya mipango miji na mazingira ambayo mwenyekiti wake ni kutoka chadema,wakiwepo pia madiwan wanne na watendaji.
Naungana na watanzania wenzangu kulaan kitendo cha utovu wa nidhamu kilichoonyeshwa na Mh.Wenje kipindi cha ziara ya waziri Mkuu Mh.Pinda
Mh.Wenje amekua si mngwana na ameonesha kutokomaa kisiasa,imetusikitisha sana wana Mwanza hasa sisi watu wa Nyamagana na tunajuta sana kumpeleka Bungeni...
CDM maandamano walizuiwa sababu ya sensa,sensa kila mtu anajua umuhimu wake,shule zote zilifungwa,na shughuli zote zinazohusisha mkusanyiko zilizuiwa ili kufanikisha suala la sensa,inakuwaje cdm mnafanya mkutano,kwanza ni kukiuka amri ya serikali na indirect kupinga sensa,kwa hali hii...
Hapana hawa jamaa, I can say wanakurupuka sana, kwa mza, mwanachama yeyote au kiongozi anapokuwa si upande wa wenje lazima apate matatizo, wenje anadictate what to be wakati kichwan ni mtupu. Kwa sasa mwelekeo wa CDM ni kifo.
Wamekuwa wakurupukaji sana. Chama hakiko makini kabisa,kwa mwenendo...
Nasikitika sanaa sana kwa uelewa ulivyo finyu wa watz wenzangu,hii kwa kweli ni tatizo sana nashindwa kujua serikali inanye nini ili kuweza kufanya IQ ya watz kukua,mtu anashindwa ktofautisha tu picha iliyochukuliwa karibu,iliyochukuliwa mbali na iliyochukuliwa kwenye direction tofauti.
Hii kwa...
No issue kama hizi za maslah ya nchi huwa wanaenda kwanza wakubwa kuongea kikubwa na negotiation ya kupeleka wataalam ndo huwa inajadiliwa hapa.Hii ni kwa nchi zote sio Tz tu,seikali ipo sahihi kabsa
Jamaa utafiti wake sio,Iam sure tuna miongo zaidi ya 3 ya kuendelea kushika madaraka,Kwa mjini its ok kwamba chadema wanawatu kiasi japo hawajatufikia,jaman uchaguzi uliopita its 2years tu tuna wabunge karibu 75%, hii inaonnyesha ni jinsi gani wananchi bado wana iman na ccm,kwa utafiti wenu...
Naungana na wanajamii wengi kuwa,hata kama issue zako ulizopresent zina ukwel kidogo,i dont think JK is bogus as you think ana washauri hata mambo binafsi,he cannot be that full.Tuachen majungu.Hawa jamaa ni wezi tu wala msimpake matope JK hana sababu yoyote ya kumtumia waziri kuiba tena wizi...
sio wachache ni wengi sana majungu ndo kazi yao.hawana mda mrefu kwenye uliingo wa siasa,watapolomoka coz wanachukua kila mtu ili mradi ataje ki diploma au degree
NOOOOO kama kweli majarada yapo kwa Hosea watafikishwa mahakaman,na pia inategemea na uzito na ushahidi wa tuhuma dhidi yao.PCCB is strong enough,subirin mtaona
Cdm hakimfai tunamkaribisha ccm.Sidhan kama ni solution cdm kuendelea kufukuza wanachama,inaonesha ni watu wanaokurupuka,kwan hawana kamati ya maadili ya chama ambapo mwanachama anapokosea anawekwa kitimoto.Hawa jamaa tukiwapa nchi tutaingia machafukon coz chama hakijaiva kukamata dola, kama tu...
Wanajamii mi sikubalian kabisaa na Maige,anachokifanya kwa sas ni kujikosha,if he knew kuwa mafisad ndan ya wizara wana nguvu alitakiwa kuwa smart zaidi na kutumia madaraka aliyopewa vzr,kwa kujua hayo yote why anachotaka kukisema sasa hv asingekisema au angetumia mbunge mwingine kukisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.