Tukisema la ukwel huyu mbunge ndani ya chama chetu ni janga na ni mzigo ,uyu ndio alisema wanaume wapelekwe kwenye chuo cha kufundisha kutongoza ili kupunguza ngono zembe ni mbunge kilaza sana hana tofauti na Sophia simba
Mungu akupe maisha marefu kamanda lema ww ni jembe ni mfano wa kuigwa hakika nakubali maneno yako cku umeshinda kesi kwamba hakuna rangi ccm wataacha kuona mwaka huu
Mmemuua masoud igunga ,mmeua arumeru nape sikusamehi hata kidogo kwanza ww ni mtu hatari kwa mustakabali wa taifa una siasa chafu na tabia ya kuzusha mambo juu ya viongoz wa upinzani mnafki mkubwa ww
Nimemshangaa sana ameacha kumshambulia yule mbunge wa znz kombo aliesema kifutio kinaitwa kifirio ila akaona maneno ya lisu ndio yanaondoa utulivu wa fikra kuliko yule aliye taja kifirio
Ivi kwanini mpaka mtu afe ndio wanaibua tuhuma izi ? maanake hata said mwema anajenga ghorofa refu mithili ya ppf tower hapa mjini moshi maeneo ya soweto kwanini wasimuibue nayeye wakati huu akiwa hai ili ajibu tuhuma ? maana mapolisi wengi wamekuwa wezi mno
We dada acha umalaya tulia utapata bwana ,na kwa maelezo yako ata uyu tr inaonekana alishakuchapa, kwani alikuongezea vipi max kwenye izo sup ? hakuna kaz ya bure hapa town na usitufunge kamba kiivo kama vile sisi ni watoto wadogo
Mimi nashangaa sana mtu kama makongoro nae anashiriki katika njia chafu km izi ili apate hela za pombe wakati tunajua mafisadi wanampa pesa za kutumia kila akiwa na shida,na suala la pili mimi nashangaa sana wanaolipa pesa kuona kaburi la mwl mtu ambae ni wa kwanza kuiharibu nchi mpaka hali...
Ishu sio kwamba atutaki vyama vingine vipate coverage tunachotaka ni ukweli gazeti la mwananchi ni gazeti linaloaminika kwa kutoandika uongo lakini kwa mhariri uyu ameudanganya uma wa watanzania ,atasemaje cuf imeuteka mji wakati imetoka na watu mikoa mingine ? kwanini katika habari ile akusema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.