Na pia kuwa na mwanaume yule uliyemkubali moyoni mwako na mwenye tabia njema, usikubali kuolewa na mwanaume wa aina yeyote, hata kama atakuambia humtaki kwa sababu unaringa na kujiona muache aongee anavyotaka, mdomo mali yake!, we endelea kumtafuta yule utakaye kufanya uwe na furaha.
Ni tabia mbaya sana kumtukana mtu that much baada ya kuachana naye, ni upumbavu na utoto, muache mtu aishi happy kwenye maisha yake, kuachana kwenu kusiproduce chuki zisizoisha, samehe na uishi na ufurahie maisha yako na yeye pia umuache aishi na afurahie maisha yake, yaani unakubali kasoro zake...
Pole sana kaka, but waliojiaibisha zaidi ni wao na hapo pia umeweza kuwajua majirani zako wa kweli ambao hata wakikupa glasi ya maji, ukinywa, hutodhurika, hao majirani wanafiki kuwa nao makini.
Mwanaume anatakiwa awe anajua na anapenda kumbembeleza girl wake na kuwa na attention kwake, hili linaleta raha kwenye uhusiano, Mwanamke anakuwa anajisikia raha na kuappriciate kuwa anapendwa na kujaliwa, Mi kama mwanaume hafanyi haya kwenye uhusiano wetu, hata awe handsome na pedezyee wa aina...
Mbona miaka hii kuna wanawake wameshaanza kuvaa suruali za jeans za kubana bila hata kufuli ndani, wapo kabisa, Mi kuna mmoja namjua alikuwa ana tabia hiyo, but sio mara nyingi alikuwa anafanya hivyo, sijui ni huyo jibaba lake la kizungu lilimfundisha au aliamua mwenyewe tu kujiachia hivyo...
Inaonekana jamaa anacheat sana, na akishtukiwa amezoea kumpoza mkewe kwa vijizawadi, sasa mkewe keshamchoka na leo atamtambua, lazima amuweke jeraha akawaonyeshe vimada wake, aache hiyo tabia, maana siku nyingine atajeruhiwa kwenye mashine yake kabisa, akose hamu hata na huyo kimada, aache...
Pole sana my Dear, yaani gari likishajaa kupita kiasi, kuna matukio mengi maovu yanaendelea, Mi nilishawahi kukumbwa na vioja vya hawa watu kwenye daladala but yeye hakuwa amefungua zipu, kipindi hicho nilikuwa mdogo, nilikuwa ndio niko sekondari, yaani huyo kaka alikuwa bomba lakini kumbe ni...
Uganda, Kenya si kama Tanzania, lazima pawake moto wa ukweli, wale watu hawaogopi mtu, maana hiyo serikali yao itakuwa na kazi kubwa kweli katika kuuficha ukweli, la sivyo patakucha.
Kudadadeki!, fedhuli yeyote anayekupenda ukiwa na kitu, mtimue kama mbwa, atakufilisi, anapenda vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi, watu wasipende kuwanyonya wenzao kwa kudepend kwao kupita kiasi, saidianeni kwenye kupiga hatua za kimaendeleo katika maisha, sio kuchunana kipuuzipuuzi, demu kama...
Kila jinsia ina matatizo, awe mwanamke au mwanaume, ukiwa na uwezo wa kumsaidia mtu au mpenzi wako msaidie, mtu aliyestaarabika na mwenye ubinaadamu hatokugeuka, na pia kama mtu anakusaidia, usimzuie kuwasaidia ndugu zake pia, ndugu zake wamempa support mpaka akafanikiwa kuwa na uwezo wa...
Eeh, siku zote hizo alikuwa anamuona wa maana, leo ndio anaona hamfai, amuambie ukweli, lakini alichokifanya si kizuri, huwezi jua yanaweza yakawa majaribu tu, Mungu anamjaribu aone msimamo wake, akumbuke akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli, lakini kama alikuwa hana feelings naye toka...
Huyo mwanamke asikusumbue bure, mbona mpuuzi hivyo, anataka akutangazie mtaani kwamba wewe ni shabiki sana wa porn, kutazama porn na mkeo si vibaya, kila mtu na life yake, huyo bibie akanunue hizo cd na pesa yake akamwonyeshe mumewe watoto wakishalala, halafu watajuana wenyewe kama waendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.