huyo mdada au mke wa mtu anaonekana hajatulia ndio wale wavunjao ndoa zao kwa mikono yao kwani mavituzi ni mipango ambayo wanapanga wenyewe kama hayuko tayari kwa wakati huo wanakaa chini na jamaa yake na kupanga huyo anajali mashoga kuliko mumewe mashoga zake wanamharibu tena anadiriki hata...
Wanapomaanisha hijabu huwa wanaaanisha vazi la heshima ambalo linamstiri mwanamke kuficha sehemu zake zinazoweza kumwingiza mtu wa jinsia nyingine katika mwonekano wa tamaa au kumtia majaribuni sasa hata nyele pia ni kitu kimojawapo ilaaa ule ni mtandioo wana jr mama aliteleza kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.