Tido mhando,asipokuwa makini,waandishi na wahariri wake watashusha hadhi ya gazeti la mwananchi,sii mara moja gazeti hili limeripoti taarifa za uwongo,liliwahi kumnukuu uwongo askofu kilaini,kesho yake akajitokeza hadharani kwamba hakuwahi pigiwa na mwandishi kumuuliza hayo walodai maoni...
Mtoa mada una ukurutu kwenye ubongo,sidhani kama mtu mwenye akili timamu anaweza kuandika ujinga huo,liondoe tope zito kwenye akili zako,pengo sii saizi yako kumuingiza katika huo ujinga wako,shame on you.
Hongera sana togolani,naamini katika uwajibikaji na utendaji wako,naamini katika bongo yako,naamini katika weledi wako,unayo exposure ya kutosha katika mambo mengi,umri wako ni kielelezo cha vijana wenye mtazamo mpana kwa nchi,hongera sana,sana,sana,ninayo imani viatu vya january,mbelwa,na marwa...
Tangu muache na vijana wasomi,dr.mkumbo,zitto na baadae prof.baregu naye kuwapa kisogo katika ushauri ,-chadema limegeuka kuwa genge la watabiri na wapiga ramli wa kisiasa,what do you expect from,lema,msigwa,sugu,dogo janja nasary,eti hili ndilo kundi washauri wa mbowe including joyce...
Mleta mada una ukungu kwenye ubongo ,tatizo lako na wenzako,unataka hadi shida zako binafsi ,zitatuliwe na mbunge ,mbunge kwako ndiye hotel,atm,hospitali,nk,badilikeni,mama tibaijuka ni mzuri,sema unamuona hana maana sababu hakaribishi ujinga wako na wenzako,wakutaka msaidiwe kila kitu,kisa tu...
Kigaila,hajitambui,ila tumbo lijae sharti amkuwadie mbowe mabibi ili aendelee kubaki makao makuu ya chadema,zipo taarifa kuwa kigaila ndiye baba mzazi wa mtoto wa josephine mushumbuzi ,mwanamama anayetajwa kuwa mke wa dr.slaa.
Inavyoonekana mleta mada ni mtoto wa nyumba ndogo,ndo maana una akili za utapiamlo,hukupata msosi wa kutosha utotoni sababu mlezi wako alikuwa anajiiba kukuletea mahitaji kwa mama yako.-vuta mkwanja kwa wagombea wanaokutumia,mwisho utavuna mabua.
Mleta mada,hizi hisia sii bure,unless huko kwenye mtandaoni wa monduli umepata bwana wa kukuoa,ushauri wangu kwako,kama mgombea wako unaamini anayo nguvu ya ushawishi hamieni chama kingine mkautafute huo urais wa kununua,dhamana ya juu katika nchi yetu haiwezi kutolewa kwa rushwa na hongo za...
Hivi chadema itajipangaje jamani,hata kama ungesema bunge la katiba liwakilishwe na ngo,viongozi wa dini na makundi mengine,bado asilimia 90%ungewakuta ni makada wa ccm,maana kumbuka ccm ilishinda aslimia 90.02-ya uchaguzi wa vitongoji na vijiji mwaka -2009,na zaidi ya hayo inao mtaji wa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.