Search results

  1. C

    Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

    Kama sii serikali ya kikwete ,dada yako huko kijijini angekuwa housegirl mjini,leo anasoma sekondari,hata kama kuna changamoto bado zinatatulika.
  2. C

    Wabunge, Wawakilishi na wajumbe wa Bunge la Katiba wapongeza msimamo wa Kanisa Katoliki.

    Tido mhando,asipokuwa makini,waandishi na wahariri wake watashusha hadhi ya gazeti la mwananchi,sii mara moja gazeti hili limeripoti taarifa za uwongo,liliwahi kumnukuu uwongo askofu kilaini,kesho yake akajitokeza hadharani kwamba hakuwahi pigiwa na mwandishi kumuuliza hayo walodai maoni...
  3. C

    Membe ahaha kutaka kuhamia kambi ya Lowassa

    Mtoa mada una ukurutu kwenye ubongo wako,tafuta bwana wa kukuoa monduli utulie.
  4. C

    Mwadhamu Polycarp Pengo: Serikali mbili zinatosha

    Mtoa mada una ukurutu kwenye ubongo,sidhani kama mtu mwenye akili timamu anaweza kuandika ujinga huo,liondoe tope zito kwenye akili zako,pengo sii saizi yako kumuingiza katika huo ujinga wako,shame on you.
  5. C

    Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa JK - Hotuba

    Hongera sana togolani,naamini katika uwajibikaji na utendaji wako,naamini katika bongo yako,naamini katika weledi wako,unayo exposure ya kutosha katika mambo mengi,umri wako ni kielelezo cha vijana wenye mtazamo mpana kwa nchi,hongera sana,sana,sana,ninayo imani viatu vya january,mbelwa,na marwa...
  6. C

    Lazaro Nyalandu alivyochemka kwenye BBC HARD TALK

    Mleta mada anaumwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa
  7. C

    Siku tatu za CHADEMA walizompa rais Kikwete zimeishia wapi?

    Aliyezitoa alikuwa ni kenge muota jua,aliyetaka kufahamika kuwa naye yupo.
  8. C

    Kamati ya Bunge Maalum la Katiba hatimae imependekeza kwa Rais posho ya tshs 500,000!

    Where is mbowe,hajatoka hadharani kupinga-haha mnafiki mkubwa.
  9. C

    Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015

    Tangu muache na vijana wasomi,dr.mkumbo,zitto na baadae prof.baregu naye kuwapa kisogo katika ushauri ,-chadema limegeuka kuwa genge la watabiri na wapiga ramli wa kisiasa,what do you expect from,lema,msigwa,sugu,dogo janja nasary,eti hili ndilo kundi washauri wa mbowe including joyce...
  10. C

    Lazaro Nyalandu alivyochemka kwenye BBC HARD TALK

    Wewe mleta mada maliza matatizo yako yote kichwani ,ndo uanze kutafuta matatizo ya wenzio,ubongo wako una kupe.
  11. C

    Heri ya zimbihile na masilingi kuliko anna tibaijuka wa sasa.

    Mleta mada una ukungu kwenye ubongo ,tatizo lako na wenzako,unataka hadi shida zako binafsi ,zitatuliwe na mbunge ,mbunge kwako ndiye hotel,atm,hospitali,nk,badilikeni,mama tibaijuka ni mzuri,sema unamuona hana maana sababu hakaribishi ujinga wako na wenzako,wakutaka msaidiwe kila kitu,kisa tu...
  12. C

    Benson Kigaila awadhalilisha wakazi wa Manzese

    Kigaila,hajitambui,ila tumbo lijae sharti amkuwadie mbowe mabibi ili aendelee kubaki makao makuu ya chadema,zipo taarifa kuwa kigaila ndiye baba mzazi wa mtoto wa josephine mushumbuzi ,mwanamama anayetajwa kuwa mke wa dr.slaa.
  13. C

    Mbio za Urais 2015: Lowassa na wenzake wakaangwa na Kamati ya Maadili

    Inavyoonekana mleta mada ni mtoto wa nyumba ndogo,ndo maana una akili za utapiamlo,hukupata msosi wa kutosha utotoni sababu mlezi wako alikuwa anajiiba kukuletea mahitaji kwa mama yako.-vuta mkwanja kwa wagombea wanaokutumia,mwisho utavuna mabua.
  14. C

    Baada ya mgombea wanaemtaka kushindwa upigaji kura warudiwa

    Mleta mada una ukurutu kichwani mwako,yani bongo lako lina ukurutu,tumia dawa ya mbung'o upone haraka ufikirie maisha.
  15. C

    Ni ili litimie lile neno walilonena UVCCM kwamba.....

    Mleta mada una ukurutu kwenye ubongo,katibiwe kwanza na chanjo ya mbung'o,ili akili yako ifikirie tena.
  16. C

    Kikwete hajatoa kauli ya kuhamasisha vurugu. Ni uzushi wa watu wanaomchukia

    Mkuki mtamu kwa nguruwe,kwa binadamu mchungu"nchi hii haitatawalika"-nchi hii itamwaga damu-babu slaa!!
  17. C

    Kwa Uamuzi Huu wa CCM!, CCM Sasa ni Chama Cha Hovyo Hovyo!. Kukitegemea 2015 ni Majanga!.

    Mleta mada,hizi hisia sii bure,unless huko kwenye mtandaoni wa monduli umepata bwana wa kukuoa,ushauri wangu kwako,kama mgombea wako unaamini anayo nguvu ya ushawishi hamieni chama kingine mkautafute huo urais wa kununua,dhamana ya juu katika nchi yetu haiwezi kutolewa kwa rushwa na hongo za...
  18. C

    Dr. Magufuli akagua ujenzi wa nyumba za serikali 851 jijini Dar es salaam

    Hongera kwa kazi hii nzuri magufuri ,hongera mwakalinga,zijengeni na huku mikoani sasa.
  19. C

    Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

    Mfagizi wa wahindi fagilia chaka lako
  20. C

    Mh. Kificho, awa Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba

    Hivi chadema itajipangaje jamani,hata kama ungesema bunge la katiba liwakilishwe na ngo,viongozi wa dini na makundi mengine,bado asilimia 90%ungewakuta ni makada wa ccm,maana kumbuka ccm ilishinda aslimia 90.02-ya uchaguzi wa vitongoji na vijiji mwaka -2009,na zaidi ya hayo inao mtaji wa zaidi...
Back
Top Bottom