Search results

  1. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Mji wenye mchanga unaong'aa wakati wa giza

    Mwana-mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman anakusudia kutengeneza mji utakaokuwa na kliniki za kuhandisi jini za binadamu, mvua na mwezi vya bandia, wahudumu maroboti, taxi zinazopaa, mchanga unaong'aa kwenye giza. Mradi huo utagharimu Tsh 1.15 quadrilioni kukamilika. Chanzo #startv....
  2. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Askofu Kakobe: Ukimgusa mmoja umetugusa wote!

    Dah point moja ya kufa ibilis imekaa mkao wa kueleweka
  3. VEDIANTAZ VEDASTUS

    ITV MUBASHARA

    My friend siku ukifa nani atakuonesha kwenye TV mbona unang'ang'ania kuona makaburi ya wenzio vip unataka kuangishiwa[emoji16][emoji23]
  4. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Natamani kurudiana na mke wangu wa zamani

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa nini
  5. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Hivi Wakenya waliwazidi nini Watanzania?

    Si wakiendaga huko england huwa wamevaa mashat yamechorwa bendera ya taifa letu si ajabu huyo mzungu ukimpa bendera ya tanzania atasema ni ya kenya
  6. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Natamani kurudiana na mke wangu wa zamani

    Mwanza mchafukoge [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Natamani kurudiana na mke wangu wa zamani

    Wewe unafaa kuwa rafiki ang maana mawazo yetu yamefanana[emoji23][emoji23][emoji23] hahaaa Unaish wap mkuu
  8. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Natamani kurudiana na mke wangu wa zamani

    Tungekuwa shule tungekaa dawati moja
  9. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Hivi Wakenya waliwazidi nini Watanzania?

    Walituzidi kuongea kingereza chenye kijaluo kwa ndani
  10. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Natamani kurudiana na mke wangu wa zamani

    Aliyeisoma yote anisamalaizie
  11. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Mtu mwingine anaweza kuchukua hii...

    Wewe kombolela yako ilikuwa eeeeh hide yourselfu that way Lakini yanfu ilikuwa wewww jifiche kule wanakuja Umeona utofaut huo
  12. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Askofu Kakobe: Mubashara leo sherehe ya ibada ya kutimiza miaka 30 ya kanisa lake

    Samahanini ndugu waumini wa KAKOBE naomba kuuliza kuna chakula? kwa sisi wa mikoani?
  13. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Askofu Kakobe: Mubashara leo sherehe ya ibada ya kutimiza miaka 30 ya kanisa lake

    Ukijenga hoja ya kidini usihusishe watu maarufu maana na wenyewe wana mwili wa nyama kama wewe bnadam .. Hata ibilis ana watu wenye hadhi kubwa..
  14. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Mtu mwingine anaweza kuchukua hii...

    Ulianza vizuri sasa ilipokuja lugha iliyokuja na mashua zile kubwa kubwa ndo nikapoteza kila kitu
  15. VEDIANTAZ VEDASTUS

    Watatu mbaroni kwa kukutwa na kobe 508 kinyume na sheria

    Wawachunguze hao kobe vizur kama kuna mmoja ni raia wa nchi yetu wamtoe dah poleni sana kobe ...mliokamatwa
  16. VEDIANTAZ VEDASTUS

    John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

    Mh hii nchi yetu kuna majina .. Utasikia mara CCM mdude[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom