Search results

  1. N

    Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

    Kiukweli kwa kipindi kifupi huyu Mchengerwa ameonesha uwezo mkubwa sana wa kuimudu hii wizara sijajua kwa nini Mama amemtoa ! Kama anasoma humu afanye kumrudisha bila maswali
  2. N

    Msaada-Jinsi kusajili jina la NGO

    Naomba kufahamishwa taratibu na sheria za kusajili jina la NGO .
  3. N

    Sitaki urais, ni mzigo - Pinda

    Hata akipotezea habari ashapata... Kesho ni kukomaa hata emergencies pia zistop.. Wanatunyanyasa na kutudharau hawa mabwana
  4. N

    Katibu mkuu Wizara ya Afya aitwa Ikulu

    Ni jeuri sana huyu dada........ Hayajamkuta ya kumkuta
  5. N

    Mizengo pinda kuonana na madaktari ili kumaliza matatizo yao...

    pinda atapinda kama jina lake endapo atapindisha hili. THIS IS SERIOUS.... ASIJARIBU KABISA
  6. N

    Katibu mkuu Wizara ya Afya aitwa Ikulu

    Kweli ngoma inogile huyo kaenda ikulu mwenzake naibu waziri Bi Lucy ye mpaka mida ya jioni alikuwa anazuru muhimbili yote mpaka moi, wanazunguka mbuyu tu waache wataicheza ngoma.
  7. N

    Madaktari mimi na katibu mkuu wa wizara

    msadie kuelewa huyo ps wa Bl. Nyoni mwambie wafanyakazi wa afya hawajui dili ndiyo mana walichagua hiyo fani , ila huyo muhasibu ninmajuzi tu kawashonea sare wafanyakazi wa MNH kila mmoja pea tatu na kila pea ina gharama ya Tsh. 200,000 na kwa kawaida unform allowance ya serikali iliyopitishwa...
  8. N

    Madaktari Waamua Kutangaza Mgomo Rasmi Kuanzia Kesho tarehe 24/01/2012

    Ndugu inaelekea huna historia kamili kuhusu migomo,mwaka 1995 madaktari na wauguzi wote nchini waligoma kwa siku tatu na aliyekuwa waziri wa afya wakati huo Bi Zakia Meghji aliachia ngazi na ilibidi mh. Rais Mwinyi wakati huo awafuate kwenda kuwasihi warudi kazini na mara moja maslahi yao...
  9. N

    Madaktari mimi na katibu mkuu wa wizara

    Huyo mama (Blandina aliwahi kwenda pale MUHIMBILI na kukuta wagonjwa wamejaa na wengine wamelala chini, alichosema ni " Sitaki kuona wd zikiwa chafu namna hii wawekeni hao wagonjwa chini ya uvungu wa vitanda corridor zote ziwe safi". Sasa kwa akili ya kawaida tu hata angesoma hiyo medicine...
  10. N

    Biashara ya ulanguzi kwa watoto na madanguro Tanzania

    Kwa hili la kuwahusisha watoto kwenye biashara ya ngono, nadhani tunakoelekea kama taifa si pazuri kabisa, kuna mambo mengi ya kufanya na ama kurekekebisha hii ni pamoja na sera zinazohusu masuala ya kijamii kwa ujumla. Tukichukulia mfano sera zinazosimamia maslahi ya watoto hasa wale wanaoishi...
Back
Top Bottom