Watendaji anaowaona wabovu hana uwezo wa kuwatumbua maana wanaripoti kwa aliyewatuma kwake wateuliwe!
We can easily forgive a child who is afraid of the dark; the real tragedy of life is when a men are afraid of the light." -Plato.
Makamba: "....hicho chuo ulichisoma kakijenga baba yako?...."
Mwandishi: ".....ndiyo, ni Kodi aliyokuwa analipa baba yangu ndiyo ilijenga hicho chuo.."
Mheshimiwa Rais Dr. Samia S.Hassan zile milioni 500 ulizotoa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wagonjwa wa Nje (OPD) Hospitali ya wilaya ya Nyamagana zimepigwa zote, jengo halijaisha watumishi wapo wanarushiana mpira! Mh. Rais pengine una nia nzuri ila tunajua huku chini wanasubiria huo mgao wa...
Mama alisema hivi na hapa namnukuu: .."nidhamu kwa watumishi iliyokuwepo awamu ya Tano ilikuwa nidhamu ya woga, Mimi nataka watumishi wawe na nidhamu yao ya asili bila kuogopa Simba wa Yuda..."
Kwahiyo mkuu mleta mada huko alipo mama anafurahi sana kuona watumishi wakiwa katika nidhamu gao "...
Naona walimu wameamua kupiga mishe zao za bodaboda (urefu wa kamba zao) hali sio nzuri hata kidogo kwenye hizi shule zetu za kubeba mfagio na kidumu cha maji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.