Zion, ni sehemu ambayo mtu anaweza fungua stationary, au butique au duka la vipodozi au mambo ya M-pesa au nguo za watoto au bucha la kisasa au duka la jumla. Full mangism.
Habari wanaJF nawapenda sana.
Tukiwa kama watu tunaosaidiana katika mawazo mengi ya kujengana, mimi mdogo wenu na wengine kaka yenu nina ombi kwenu, natafuta framu ya biashara ambayo nitaweza kupata vijisenti vya kumtunza dada yenu Lara1 kwani karibu nampata.
Sehemu ambayo ningefurahi sana kama...
Sasa unataka kuifundisha nini jamii? Kama umeamua kuwa ajenti wa shetani na uwe mwenyewe watudanganyi. Umesahau mhubiri anasema nini kuhusu 'ni heri kunywa maji kwenye kisima chako peke yako kuliko kunywa na wageni'.
Tunakutakia buriani njema. Nimewaarifu ubalozi wa Marekani wakaahidi kuleta mbwa ili anuse maiti yako na athibitishe kama umekufa.Tafadhali oga kabisa kabla ya kujinyonga ili asipige chafya.
Haha Lara1, huyu dada nilishamwona, hoteli naifahamu, to speek the truth ni mzuri.
Lakini mbona nyie wadada mnaringiana hivo, it is verry rare ukute eti wanaume tunaleteana madharau ya kipuuzi puuzi, except wale wachache wanaopenda kujionyesha na wanaoelekea kwenye uliberali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.