Kutenda kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa...sasa naona wewe unataka kulirudia...please muoe huyo dada ili mtunze huyo mtoto. Usiwe selfish kaka mfikirie na yeye...umemuharibia future yake...angefanya mangapi ya maendeleo hadi sasa bila ule ujauzito na mtoto aliyezaa...dhihiriisha uungwana...
Kiukweli ulifanya mistake kubwa nahisi kuliko zote ambazo uliwahi kuzifanya... kumbuka kuwa ukweli humuweka mtu huru...tazama sasa umejenga uadui kati yako na girlfriend wako, mumewe na ht kwa rafiki zake... wema wote aliokutendea your ex hakutakiwa kulipwa kwa stahili hiyo... umemdhalilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.