Search results

  1. M

    TALA yakimbia Tanzania, yafunga ofisi zake

    Nilisikia kuwa huko Kenya kuna kijana alikuwa anafanya kazi upande wa IT alifuta data zote sasa sijajua hawakuwa na backup
  2. M

    TALA yakimbia Tanzania, yafunga ofisi zake

    Mi nilisikia huko Kenya kuna kijana mfanyakazi ambaye ni IT nilifuta
  3. M

    Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

    aisee spiritual wife ni shida sana, hongera kwakuwa umefanyiwa deliverance ulimwengu wa roho ni halisi kabisa wanobeza hayajawakuta, na wengine wanao spiritual wife ambao hawajaja physically kama wewe alivyokuja wengi wanaota ndoto zakufanya mapenzi lakini wanadhani nikawaida. usirudi nyuma...
  4. M

    Forex Seminar - Arusha

    Je wewe ni mkazi wa Arusha na ungependa kupata ABC kuhusu FOREX? tarehe 12/01/2018 New safari Hotel kutakuwa na semina ambayo itaendeshwa na TAHIR KHAN aka STRYKER kutoka UK. semina hii ni bure! unachotakiwa kufanya ni ku reserve siti kupitia www.stochasticafrica.com! note: uje na...
  5. M

    AG Werema alishastaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria

    duuuu, Tanzania zaidi ya uijuavyo
  6. M

    Nimeumia sana

    dada maisha yanaendelelea yeye si Mungu bwana achilia huo mzigo myoni mwako, mpende mwanao, fanya kazi kwa bidii, kama ni kosa lilishafanyika kung'uta fumbi songa mbele mama, yaani bado unamfuatilia tuu hadi fb wanini huyo, kwanza anaonekana bado hajakua kiakili hata angekuwa mume wako ungekuwa...
  7. M

    Do what you can do, but don't trust a woman

    umeona eeeh, yaani hadi mama yako mzazi? sijui inawezekana yeye mama yake alivyomzaa akamtupa ndo mana, MAMA atabaki kuwa mama tu, hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia anayovumilia mwanamke, kwasababu wewe ni mwanaume hutakaa ujue.
  8. M

    Kafulila,Tibaijuka live Star TV

    hahha ilikuwa vise versa mkuu
  9. M

    Polisi ang'olewa meno sita Shinyanga

    si mchezo hiyo ilimuua goliathi
  10. M

    Kitakachotokea kesho bungeni

    Duu kweli ulisoma alama za nyakati mwee, hata hiyo jioni sijui
  11. M

    Yaliyojiri Mdahalo wa Katiba: Jumanne, Tarehe 25 Novemba, 2014

    aisee ka nokia tochi kangu kananisaidia yaani namuelewa Warioba
  12. M

    Fundisho kwa watu wenye dharau na matusi mbele za watu

    kaamua kusoma biblia kitabu cha mithali
Back
Top Bottom