aisee spiritual wife ni shida sana, hongera kwakuwa umefanyiwa deliverance ulimwengu wa roho ni halisi kabisa wanobeza hayajawakuta, na wengine wanao spiritual wife ambao hawajaja physically kama wewe alivyokuja wengi wanaota ndoto zakufanya mapenzi lakini wanadhani nikawaida. usirudi nyuma...
Je wewe ni mkazi wa Arusha na ungependa kupata ABC kuhusu FOREX? tarehe 12/01/2018 New safari Hotel kutakuwa na semina ambayo itaendeshwa na TAHIR KHAN aka STRYKER kutoka UK. semina hii ni bure! unachotakiwa kufanya ni ku reserve siti kupitia www.stochasticafrica.com!
note: uje na...
dada maisha yanaendelelea yeye si Mungu bwana achilia huo mzigo myoni mwako, mpende mwanao, fanya kazi kwa bidii, kama ni kosa lilishafanyika kung'uta fumbi songa mbele mama, yaani bado unamfuatilia tuu hadi fb wanini huyo, kwanza anaonekana bado hajakua kiakili hata angekuwa mume wako ungekuwa...
umeona eeeh, yaani hadi mama yako mzazi? sijui inawezekana yeye mama yake alivyomzaa akamtupa ndo mana, MAMA atabaki kuwa mama tu, hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia anayovumilia mwanamke, kwasababu wewe ni mwanaume hutakaa ujue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.