Kwani utaratibu unasemaje? tujaribu kupima ili tutakapohukumu iwe thabiti, kwani piga ua garagaza CCM ipo hoi, na staili hizo za kale wanazojaribu kutka kuzi apply haztafanikiwa, kwani watanzania wa sasa hawana cha kupoteza, umaskini ndio umaskini kuna wengine hata wanatamani kufa kutokana na...
Kwani utaratibu unasemaje? tujaribu kupima ili tutakapohukumu iwe thabiti, kwani piga ua garagaza CCM ipo hoi, na staili hizo za kale wanazojaribu kutka kuzi apply haztafanikiwa, kwani watanzania wa sasa hawana cha kupoteza, umaskini ndio umaskini kuna wengine hata wanatamani kufa kutokana na...
Khaa Mwayego nyie sasa mmezidi dhuluma kama hizo ndizo zinazowafanya wananchi kuwauwa viongozi wao kama vibaka wa kawida mambo kama hayo yanatengeneza kisasi ndani kabisa ya roho ya mwanadamu, sasa swali Huyo tajiri sijui RIDHIWAN huyo?
na hao wenyeji nani katangulia, wapeni haki yao ndugu zetu...
Mnapoanza kuunda kambi mna uhakika gani kama mtashinda katika uchaguzi jumla wa Taifa au ndio mnategemea kuiba kura kuwa mgombea wa ccm kwa kiti hicho sio ndio tiketi ya kuwa rais wa nchi hii tukufu ambayo inaelekea katika utukufu wa kweli kwa kuinstall utamaduni wa kuambiana ukweli an tukiacha...
Nyaraka hizo sijui za kweli wajameni, kwani kama wameweza kukwara kura ubunge na tume kulazimika kusubiri mchakato wa vikao vya ccm umalizike ili kutoa nafasi kwanza kwa kamati ya siasa ya chama hicho kiamue kikubali au kisikubali.
Halafu tena hizo nyaraka sio kama vyeti vya viongozi wengi na...
Waganga njaa wanaouza utu na heshima yao kwa ndururu, na zawadi za shanga ambazo hazitawasaidia chochote matokeo yake mambo yakiwa magumu unarusha ngumu kuonyesha uaminifu kwa bwana wako mtwana wewe!!!!!
Hapana msimopotooshe ni kweli huduma za TTCL zimekuwa duni, kunakosababishwa na baadhi ya vigogo kuwa na hisa katika makampuni mengine ya simu na hivyo kufanya hujuma za makusudi dhidi ya TTCL shirika letu, vinginevyo TTCL INGETISHA HATA ZAIDI YA nssf, speed ipo chini broadband yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.