NI kwa nini employers wengi wanavunja sheria ya kazi kwa kutotoa orodha ya kazi za mwajiriwa yaani Job Description.
Mimi napendekeza watumishi wa idara ya kazi waanzishe mtindo wa kuzunguka kwa employers mbalimbali hapa nchini na ndipo watagundua madudu yaliytojazana huko.
Mtu anafanya kazi...
Ni kweli tangu vyama vingi vimeingia gazeti la UHURU limekuwa likipingua na hatimaye kukosa kabisa wasomaji. Lakini kwa kunagalia thread za humu unaweza kubaini linavyoweza kupata wasomaji.
Mtu anaansisha thread vizuri tu na wachangiaji wanaenda na mfululizo vizuri pia. Lakini ghafla anatokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.