Im sure jf is the home of intellectuals. Please ague intellectually. Hoja si Maalim Seif kupokewa kwa shangwe ila katoa na kasema nini Igunga kilichopokewa kwa shangwe?
Halafu Maalim alikutana na wanachama wake wa Igunga na wala si wananchi wa Igunga. Tafadhal zingatia maana ya maneno uyasemayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.