mimi naona ni sahii kwa huyu mwanaume kuitwa mjinga na mke wake maana na yeye alitakiwa amuulize yule mwanamke aliyemwalika umemwambia mke wangu?akimwambia ajamwalika amwambie basi mimi siwezi kwenda peke yangu.Maana kama yule mwanamke angekuwa na nia njema angewaalika wote. huyo mjane lazima...
Kweli mkuu naomba umewasilisha hii mada maan hawa wanawake wamezidi kuwa kero yaani tena ukimwiita tu aje mahaali bila hata kujua una sh.ngapi tayari ameshaanza kuagiza mavitu yake mara utasikia anaita jikoni kuna nini mara haya lete kuku na ndizi mbili.Sasa subiri ikifika saa ya kulipa utaona...
E bwana mimi ninachojua ni kwamba mwanamke kama wa kumegwa nje hata mmoja hawezi kukatalia licha mpaka wafike kumi no wa kukataa hata wakifika 99 wa mia hawezi kukubalika kama kweli anajua nini maana ya ndoa na ana msimamo kweli kwamba mimi nimke wamtu.Hao wanaokubali wa kumi ina maana hat wa...
Mi hapa niko ready lakini mpaka nami nijue uhakika kwamba nitakuwa wa kudumu kweli? kama itakuwa hivyo basi nitakufanya uione dunia ni mahali pazuri pa kuishi na kamwe hautajuta kuwa na mimi ila utajiuliza nilikuwa wapi kipindi chote ulichokuwa unateseka na hao matapeli.
Mkuu hilo wala lisikusumbue hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo la kuwa na wasi wasi na mtoto lakin nikajiuliza mbona wazungu wana adopt watoto ambao siyo wao?jast take it easy endelea kumpa mtoto malezi mtoto akikua
akwiita tu baba kuwa baba wa mtoto ni malezi siyo kutia mimba.kuzaa siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.