combination ya Michael Baruti na Zembwela kwenye kipindi cha SUPAMIX kinachoruka hewani kila siku ya jumatatu mpaka ijumaa, kupitia East africa Radio ni nzuri saaaaana....
wawili hawa wanaupeo mkubwa sana wa kuchambua mambo ya kijamii na kuyawasilisha kwa wahusika wakiwa na lengo la kusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.