kwa ufupi kuna mambo mengi ya kushughulikia ili kumaliza tatizo la wachina nchini, ninaloliona mimi ni kutokuwa wakali juu ya utekelezaji wa sheria zetu kwa ujumla wake, siasa inatawala maamuzi mengi ya msingi katika nchi na wanasiasa kuwa na "interest" na wageni hao katika sura tofauti tofauti.
hata mimi nimewasikiliza kwa umakini sana, michango ni mizuri ila wengi wako shallow sana juu ya masuala muhimu ya taifa lao....wanahitaji semina elekezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.