Katika fikra zenu potofu nakutojua kujua zuri na baya ndio maana mnasema barca inabebwa! unajua watanzania wengi atuendelei kutokana 2nauficha ukwel. Barca is the world classic club hakuna club yeyote inayoipiku nafasi hiyo achen chuki na mjungu yasio faa ongen ukwel wa soka sio majungu!
Pole sana bro but ktk upande mwingine ww ndie mwenye kosa uchumi ckigezo cha wewe kutorudi kwako! hapo akuna msaada zaid kutokana umeisha fanya uamuz wa kuachana.
Cthani unamueheshim mume waka kama unavyo sema! Ila alwayz mazoea hujenga tabia nailo nikosa kubwa sana umelifanya ktk dunia hii kutembea na mke wa m2 na nidharau kubwa umeonyesha kwa mumewe upaswa kulipia pole sana kijana hukuona wanawake wote mpaka umenda kwa mke wa m2!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.