Licha ya kiwango cha elimu,ni vema pia wabunge waweke maslahi ya taifa mbele kuliko tu kuangalia maslahi ya chama chao.Kuna watu wana elimu kubwa lakini bado wanapinga tu mawazo mbadala hata kama ni mazuri.
Kwa uelewa wangu,Julius Mtatiro ni katibu wa itikadi na ueneze kwa upande wa CUF,lakini naona amekuwa kimya sana kwa siku za hivi karibuni.Sijasikia kauli yake kwa mambo muhimu yanayohusu nchi ambapo huko nyuma alikuwa akitoa kauli mbalimbali.Je,bado yuko CUF??Kwann yuko kimya?Wana jamii naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.