Sasa Mkuu kama unaweza kunisaidia kwa kupitia humu humu ndani na wengine wakafaidi matibabu hayo ingependeza zaidi. Nataka kuacha kabisa kutafuna mchele.
Please.
Habari ya Maandalizi ya Sikukuu ya Eid Naomba msaada wenu, maana hapa ndipo mahali sahihi pa kuuliza na kujibiwa majibu yanayostahili na yenye msaada. Mimi ni mwanamke, nina shida moja, ninapenda sana kuloweka mchele kwenye kikombe na kutafuna hata robo kilo kwa siku.
Nimejitahidi kuacha...
Habari ya Maandalizi ya Sikukuu ya Eid El Fitr!
Naomba msaada wenu, maana hapa ndipo mahali sahihi pa kuuliza na kujibiwa majibu yanayostahili na yenye msaada.
Mimi ni mwanamke, nina shida moja, ninapenda sana kuloweka mchele kwenye kikombe na kutafuna hata robo kilo kwa siku. Nimejitahidi...
Jamani, kwanza nawasalimuni wote, mimi mgeni (new comer).
Kwa hili tatizo la UKIMWI, nashauri tu tuache njia zetu mbaya (matendo maovu) na kumrudia Mungu. Kama upo kwenye ndoa tulia na mwenzi wako huyo huyo, tuache tamaa za kutaka huku na kule, tutakwisha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.