Search results

  1. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole sana mkuu, kipindi unachopitia ni kigumu lkn naamini muombe M/Mungu akupe wepesi, weka jitihada ktk utafutaji na mwisho kuwa na Subra. NI suala la muda/ wakati tu lkn utachomoka💪👊💯
  2. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana master👏👏💯 Muda wako ukifika ni umefika tu, hata usipoamini ila ndio uhalisia huo. Hongera sana mkuu, Nakutakia kheri na fanaka tele ktk maisha yako ya Utumishi wa umma. Kumbuka kutoa shukurani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji toka ktk jamii yako kama vile watoto yatima...
  3. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu❤️💯 Daima wakati wa Mungu ukifika hakuna wa kupinga. Hongera kwa juhudi na uvumilivu wako. Katimize majukumu yako vizuri kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia katende haki. Furahia habari hii njema pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani...
  4. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mpambanaji😁😁❤️ Hii ndio maana halisi ya upambanaji . Hongera sana mwamba. Nakutakia maisha ya furaha katika utimizaji wa majukumu yako. Katimize majukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia nenda katende haki. Mwsho, kumbuka kutoa shukurani...
  5. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu @chidayo👏👏 Nakutakia furaha na mafanikio katika utumishi wako. Katimize majukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za kazi yako. Furahia taarifa hii nzuri pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani haikuwa rahisi kufika hapo. Mwisho, kumbuka kutoa shukurani...
  6. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole sana mkuu, Nakusihi usikate tamaa, hakuna jambo rahisi katika utafutaji. Wote walifanikiwa wana story nyuma yao jinsi walivyotaabika, si wote wanaoweka bayana. Hvyo nakuomba kaza moyo, Mshirikishe M/Mungu mahitaji yako, pambana sana na pia kuwa na subira/ uvumilivu. Na pia inapotokea mtu...
  7. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hyo ndio siri ya mafanikio ndugu💯 Ukifurahia mwenzio anapopiga hatua za maendeleo ww pia milango yako ya bahati inafunguka.✅️
  8. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana kaka innojembe 👊👊💯 Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi brother, Imani yako kwa M/Mungu, Jitihada pamoja na uvumilivu wako ndio vimezaa hayo matunda uliyopata. Binafsi nakutakia maisha mema katk Utumishi wa umma na pia katimize majukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni...
  9. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Honger sana mkuu👊👊, Hakika wakati wa Mungu ndio wakati sahihi kabisa, pia kukata tamaa ni mwiko kwa mpambanaji. Nakutakia maisha mema katika Utumishi wa umma, muhimu kutekeleza mmajukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni husika. Kumbuka kutoa shukurani kwa taarifa hyo njema...
  10. mosses15

    Aliyepigwa ngumi hana akili na mpiga ngumi ni tahira

    Na nyumbani kwa mkewe ameaga anaenda kazini.
  11. mosses15

    Bunge laondoa kigezo cha kupitia JKT na JKU kuajiriwa vyombo vya ulinzi

    Ni kweli kabisa mkuu, hakukuwa na fursa kwa vijana wengi kwa sababu hiyo. Sasa vijana wengi wataweza kushiriki hyo fursa.
  12. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu Muju4 👏👏💯 Nakutakia kila lenye kheri katika majukumu yako mapya, katende haki na kufanya kazi kwa bidii. Katimize majukumu yako kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma. Kumbuka kutoa Shukrani kwa kusaidia makundi yenye uhitaji kama vile watoto...
  13. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu👏👏 hii ndio maana halisi ya mpambanaji. Hakika uzi huu umebarikiwa 🙏🙏🙏.
  14. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera mkuu Utumishi wako fair Nakutakia mafanikio katika kazi yako uliyopata, katende haki. Pia zingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa umma pale unapotimiza majukumu yako. Sherehekea mafanikio haya ukiwa na ndugu na jamaa zako wa karibu kuweka kumbukumbu hii nzuri katika maisha...
  15. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu Wansakieki 👏👏 Nakutakia maisha mema katika Utumishi wa Umma, napige kazi kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za kazi yako, Pia katende haki. Furahia ushindi huu pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kusherekea mafanikio hayo kwan haikuwa rahisi mpaka kufika hapo...
  16. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shirik lingine ni Doctors without Borders
  17. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu👊👊 Nakutakia mafanikio katika kazi yako, kafanye kazi kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za Utumishi wa Umma na pia katende haki. Pia, kumbuka kutoa Shukrani kwa mafanikio hayo kwan haikuwa rahisi mpaka kufika hapo.
  18. mosses15

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu Desktop 👊👊 Nakutakia mafanikio tele katika maisha yako ya Utumishi wa Umma. Kazingatie Sheria, Taratibu na Kanuni za kazi yako pale unapotimiza majukumu yako na pia katende haki. Furahia habari hii nzuri ukiwa na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani haikuwa jambo rahisi...
Back
Top Bottom