Kwani ninyi watu wa Maswa mlikuwa mnafaidikaje na uwaziri wake? Zaidi ya familia yake na watu wake wa karibu. Kwani huko Maswa hakuna mambo magumu na ya kuhuzunisha ya kuwafanya mlie?. Uwaziri siyo ajira.
Zamani kulikuwa na uhaba wa walimu, tulikuwa tukihitimu kidato Cha sita tunaomba kwa muda kufundisha . Ukiwa mwanafunzi huwezi kujua shida ya ualimu, wengi tuliosoma vyoo, na maficho ya kuvutia Bangi kwa wanafunzi ni vitu vya kawaida sana. Kama hujasoma shule za umma au kufundisha shule za umma...
Kuna watu wanachngia positive juu ya walimu na si walimu, wameoa au kuolewa na walimu,wadogo zao kaka zao ni walimu, kwahiyo kinachoendelea huko wanakijua, kwahiyo usidhani anayetaka walimu wapate heshima ni wadundaji wa watoto wako . Kuna wazazi wanadunda zaidi ya huyo mwalimu, na hakuna kile...
Nadhani Kila anayetaka kung'ara ndani ya jamii na serikali anatakiwa amdhihaki mwalimu, amtishe mwalimu, amnyanyase mwalimu, bahati mbaya wengi wa wanyanyasiji wa walimu ni watu walio wahi kuwa walimu. Wanajua mazingira na ugunu wa kazi ya ualimu.
Kwa mfano Ili mwanafunzi afaulu mwalimu...
Kuna jambo serikali inapaswa kufanya, Kuna maagizo mengi yasiyo na tija katika elimu, mkurugenzi wa elimu ana maagizo, afisa elimu mkoa ana maagizo, afisa elimu wilaya ana maagizo. Kuna wilaya walimu wanaambiwa wafundushe Hadi saa kumi na mbili jioni, bila kujali walimu ni mama na baba wa...
Jaribu kumwelewa mwandishi, umewahi sana kumtusi, ametumia fasihi kidogo. Haja walaumu walimu kama unavyodhani, ameilaumu jamii na serikali inayowabeza walimu kwa kutengeneze na kuaandaa raia wema.
Mleta Uzi amechukia kumsikia Lisu akiwa Hana masikitiko juu ya kifo Cha Magufuli, vipi kama Risasi hizo zote zingekuwa mwlilini mwa mleta Uzi?, Pengine huna hata undugu na Magufuli na umechukia vipi risasa hizo za Lisu zingekuwa kwako ungemlilia huyo Magufuli?
Vema, kama lengo lilikuwa ni Hilo. Tatizo ni namna alivyowasilisha , amewasilisha kwa namna ambayo siyo ya mtu anayetaka kujua jambo. Mleta mada yeye anajua prof yupo tu haendi ofisini, lakini ana kula mshahara mnono. Angeeleza tatizo la tume ya madini baadaya ya kukosekana kwa prof . Sasa huyu...
Mimi sawa na upeo mdogo wa covcs, wewe unamjua huyu mleta nada ni nani, na anafanya Nini, au na wewe na wale watu wa makasiriko. Mwenye upeo mkubwa mleta mada hajui hata kama ni mbunge na bunge lipo live , yaani mwenye uelewa mkubwa hajui urai wa kawaida kuwa profesa si kamishina wa madini mpaka...
Huwezi kupata tusi la kupinga ukweli, wewe umeandika kishabiki kana kwamba unajua na una uhakika profesa analipwa bila kazi yoyote, tena pesa nyingi. Hata ungepata hilo au ukipata tusi Rudi Mimi hakuna tusi jipya sijawahi sikia. Zaidi ya Leo kushangazwa na mtu mzushi na mbea asubuhi.. wewe ukiwa...
Hata yeye yupo huko alipo anafanya yake, yeye ni mstaarabu hafuatilii wewe unachokifanya. Kila mtu afanye yake tusipangiane . Wadau wamekujibu yupo bungeni, ukiweza kamchomoe umpe hiyo kazi ya kusaidia watanzania.
Wapi kwenye andiko hili kadhihakiwa, ninyi kama mlikula mema ya nchi enzi hizo, mjue pia Kuna watu waliumia kipindi hichohicho. Acha Kila mtu aseme aliyopitia kipindi hicho acha watu wasemwe walivyokuwa kipindi hicho, kabla na baada ya utawala Magufuli. Magufuli hakuwa malaika, kama alitenda...
Labda upeo wako ni mdogo sana juu ya mambo ya kimataifa, ujue tu kuwa hata nchi za ulaya zilizo na uchumi imara na utaifa watu wake wengi wanajua hicho Kiingereza. Ukitaka kufanya kazi kwenye mashirika ya kimataifa na hata UMOJA wa mataifa lugha ya kwanza ni kiingereza. Hata Urusi viongozi...
Kama upo kwenye akili zangu, hakuna mtu aliye teuliwa nchi hii karibuni akapata sifa na watu kupata matumaini juu yake kama Ndalichako. Akaishia kugombana na kushughulika na shule binafsi. Huyu Afande amepata sifa sana, je ataendelea kuwa yule yule au tutashuhudia akibadilika kama Ndalichako...
Nakujibu NDIYO ni failure kabisa kama wenzake wamepata mia,tisini, themanini, sabini, sitini na yeye akaishia kupata kumi yeye ni kweli amefeli. Mtoto mdogo siyo failure wa maisha lakini kwenye kusoma ni failure. Nimejibu lakini si kama unavyotaka wewe. Nipe umri wa mtoto kuanza kufeli masomo...
Na umekaa hapo unaamini mitahani ikifutwa kwa level hiyo ndo tukuwa kama wafinland (finnish)? Labda ugomvi wako mkubwa ni Nini na mtihani? Elimu yetu Bado ni very theoretical ., Acha chama Cha labour na wa-finnish wafute mitihani wanozo nyenzo na zana za kufanya hivo wana elimu iliyojikita...
Hapo ulipojipambanua kuwa wewe unaelewa zaidi yangu tayari umeingiza ushindani. Nadhani una turudisha kwenye elimu ya mababu kabla ya ukoloni, (informal education)lakini elimu ya Darasani yenye kufuata mitaala na mfumo wa kukaa darasani haiwezi kukosa mtihani hakuna wanapotoa vyeti bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.