Sioni haja ya CDM kuungana na vyama vingine licha ya kuwaunga mkono CDM, nashauri wafanye mikutano kama CDM ila vyama vingine kama vinahitaji umoja vihamie CDM, kufanya hivyo ni kudhoofisha chama na kuingiza sera ambazo zitaharibu mwelekeo mzuri wa CDM na sera zake.
Sioni haja ya CDM kuungana na vyama vingine licha ya kuwaunga mkono CDM, nashauri wafanye mikutano kama CDM ila vyama vingine kama vinahitaji umoja vihamie CDM, kufanya hivyo ni kudhoofisha chama na kuingiza sera ambazo zitaharibu mwelekeo mzuri wa CDM na sera zake.
Itakuwa vizuri kama itakuwa just optional coz wapo watu ambao hawajui mpesa na tigopesa ni nn, na hata mlo wao kwa siku ni shida, kwa mawazo yangu watumie pia wafadhili wa ndani na nje ya nchi.
People's Power!
Tangu kampeni zimeanza nimejaribu kuchunguza nikaona wa2 wengi wa igunga hawajafikiri vya kutosha katika kutoa support ktk chama na m2 makini, maana aliyetoka katika kiti hicho hawajajiuliza ni kwanini(Muusishwa ktk ufisadi) ametoka na tufanye nini ili tunaemchagua asitudhalilishe tena na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.