Wao wanafikiri wanauchungu sana na utaifa wao kuliko watanzania bara- Utanganyika sisi umekufa wao hawataki uzanzibari ufe. sasa game gani hilo? hii ni confusion. huu muungano lazima utakufa maana kizazi hiki kiko realistic
Ushaidi gani mnaongelea, wakati tunajua kabisa Jairo na Malima na ngaleja walikiwa wanachangisha pesa kama za harusi kutoka department mbalimbali za wizara- barua alituonyesha mhe Shelukindo- na pesa hizo zilikuwa kwa ajiri ya kuhonga wabunge ili bajeti ipite-hii ni kashfa tosha ya kumfukuza...
Hii inasikitisha sana, unapokuwa na Rais ambaye anakaa kimya tu na kubai time wakati watendaji wake wanavulunda ni hatari sana. Kama kuna matatizo ni hivyo hivyo anakaa kimya tu- mpaka watu walalamike- sasa yeye ni Rais wa nani? au anataka tuingie barabarani. Kikwete uwe siliasi hii ni nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.