Yeeees!! you opened my mind! Am employed but i was thinking of quiting the job due to the salary i am receiving umenfundisha kitu kikubwa sana! big uuuup!
tatizo ni kwamba tumejengwa na dhana kwamba watu weupe ni bora kuliko wazawa na kwasababu hiyo wanapata nafasi kubwa katika ajira mfano katika tenda za ukandarasi wazawa wanasahaulika na kuona kuwa hawawezi kumbe wana uwezo mkubwa tu ila hawajapewa nafasi waonyeshe uwezo wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.