TZ bila ufisadi haiwezekani! Nijambo la ajabu kumsikia katibu mkuu akise Jayro anatakiwa arudi kazin eti kwasababu tu kiasi alicho iba nikidodogo tafauti nailivyo daiwa hivyo haitoshi kumtia hatiani.......? je vipi kuhusu usemiwetu kuwa aliye kamatwa na ngozi ndiye mwiz wa mbuzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.