Tanzania ni nchi ambayo, serikali imekubali kuungana na wezi kwa kutumia sheria zilizopo kutuibia wananchi, Mungu mkuu siku moja nchi itarudi mikononi mwa watanzania.
Kuna makampuni mengi yanamilikiwa na vigogo serikalini lakini majina yao Brela hakuna, ila kwenye usajili wa wananchi tunawajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.