I paid on our first date na boyfriend wangu, from then kila tunapoenda ananiachia nilipe,daladala,bajaji ananiangalia usoni nilipe,..hadi samtaim nasingzia kuumwa ili tusitoke...NIMEKOMA..
mnataka redio zote waongelee siasa.....hilo ni swala la kijamii,tc tru kwenye society kuna wa2 wanavutiwa na harufu mbaya fulani....cjaona wehu wowote katika kuadress hyo matter....
zile tuzo ni kwa waliotoa mchango kwenye bongofleva bt kifiesta zaidi......sugu hajashirk fiesta toka enzi so asubiri hall of fame kwenye kili awards huko......na huyo sugu anasema wasanii wanahujumiwa malipo kwny fiesta hv hajui fiesta z mo than the payment?...tc the feeling of participatin in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.