Halima mdee ni sawa na Primus Saidia, Yeye anatafuta madaraka kwa kuangalia upepo,leo CHADEMA KESHO CCM, NAMSHANGAA KAMA CCM WATAMPITISHA KUGOMBEA NAFAS YA UBUNGE, KWANI HUYU TANGU MIGOMO YA MADAKTARI HE WAS A RING LEADER, I WONDER TODAY HE IS A CCM MEMBER, MUWE MAKINI ,ULIZEN TUNAO MFAHAMU...
yaani wewe umekosa cha kusema, unasubiri wapi mtu adondoke ndo uingie,? Pole utabaki na utaratibu wako wa kuangalia mikono ya watu kama inadondoka kama fisi
Nasikitika sana kama kweli CHADEMA NI WATANZANIA AU LA, KATIKA KAMPENI NA PITAPITA YAO WANAWADHARAU WATANZANIA ETI TUMEZOEA KUPEWA BURE, WAO WAMEFANYA NINI ZAIDI YA KWENDA KWA WALE MASHOGA NA KUOMBA MISAADA? WANAFIKIRI KUWA NA HELKOPTA NDIO KUONEKANA WAPIGANAJI. CHADEMA WENGI WAMEFANYA SIASA...
YAANI NAWASHANGAA NA WASOMI WANAVYOBURUZWA NA CDM WAKATI ASILIMIA 90 YA CDM NI FORM FOUR LIVER, KWA HIYO UKIKIMBILIA CDM NDIO UMELETA UADILIFU? hata tungewka vyama Mia WATANZANIA NI WALEWALE, CCM WAMEKIMBILIA CDM KWA HIYO SUMU YA UFIASDI IMEISHA? SLAA SI NAE ALIKUWA CCM MPAKA LEO ANANGANGANIA...
Yaan ameshavuliwa lile gamba kwa hiyo tunafukiza marashi ili lile la richmond lisahaulikekweli shelukindo umebugi, kama ndivyo hata Rostam anafaa kuwa rais!
Mnyika kazi yake ni kudandia tu, Ndia maana aliwadanganya wasomi eti yeye ana Degree ili apate Ubunge kumbe alishindwa akaishia njiani, SASA ANABAKI ANADANDIA KAZI ZA JEMBE LETU MAKUFULI NA TANROADS,
Jamani Hawa wabunge wako kwenye maandamano kila siku, Sensa hawaijui, MWenge umekuwa shida kwao, wananch hawafanyi kazi kwani maandamano yamezidi, wananchi wanaishia kuchangishwa kununua mahelkopta ili waendelee kujitafutia umaarufu wao na majina yao, ila pale wanaposikia miradi ya serikali...
:flypig:Mbona Mnashindwa kuelewa Jamani? Yaani wanaopitisha Bugdet ni wengine tena Bugdet waliokuwa wanaipinga CDM, Wajenzi ni wengine, ILA WALE WASHABIKIAJI NA WAKOSOAJI WA KAZI ZOTE ZA SERIKALI WANAKUJA KUJINADI NAZO NA KUJIPATIA UMAARUFU BAADA YA KUONA KAZI ZINAANZA, Mnyika sasa kwa hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.