Search results

  1. S

    Wanasimba wenzangu naomba mnijuze; Huyu mzee Kilomoni ni nani pale klabuni?

    Kinachouma zaidi ni pale mda wa usajili ni mdogo na inahitajika tufanye vzr katka usajili, ili kujiandaa kimataifa
  2. S

    Ikipatikana hata nusu ya hii list naiona Simba ikipaa stage moja zaidi ya msimu uliopita

    Tatizo lipo kwa kilomon maana anatuchanganya tu, sasa MO atatoa hyo pesa ya usajili
  3. S

    Jinsi ya kugundua tabia ya mume/mke wako na kwa wale mnaotaka kuanzisha mahusiano mapya

    Ni kweli, ila kama Mchumba wako ana marafiki wa kiume, unaweza je kumjua tabia ili hali ana marafiki wa jinsia tofauti
  4. S

    Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

    Na kama sio kweli utasema nn, kuweni waelewa, mnafata ya mange kimambi kama alikuwepo tumieni akili
  5. S

    Hawa Vijana Wa Kings Music Hakika Wameiva

    Mmmmh hakuna kitu hapo nyimbo mbovu na kuhusu hao madogo niwakawaida sn kiukweli, even abdu mwenyewe
  6. S

    Nimeitwa ukweni Singida, mwenye kuzijua desturi za Wanyaturu

    Daaah, na kuhusu watusi yaan jamiii ya wanyarwanda vp, nijuzeni maana nataka kuoa huko
  7. S

    Mwanaume: Ukitaka kuishi maisha marefu na hawa Viumbe, basi isitumie Logic (mantiki)

    Aisee nimependa ushauri wako hakika unajielewa sn, pia inawezekana ukawa mshauri mzuri wa wadogo zako wa kiume au ndugu zako
  8. S

    Mapenzi yananitesa sana USHAURI

    Daaah sisi wenye maumbo madogo tunateseka sana
  9. S

    Mpenzi wa Ben Pol ni binti tajiri Africa Mashariki

    Hakika mungu aliumba watu na bahati zao, kama huna pesa Hakika huwezi faidi mema ya dunia
  10. S

    Wanawake wa kinyaturu!

    Hahahahaha we jamaa umenichekesha sana
  11. S

    Ubishi kuhusu share za Wasafi Media naona umeisha sasa

    Wewe mwenyewe umezitoa kwa mange insta, ungekuwa nazo ungeweka kabla ya mange insta
  12. S

    Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

    Tutaamini vp, weka ushahidi uli tujiridhishe maana kila mmoja anajaribu kutueleza wakati evidence hakuna
  13. S

    Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

    Kwa bongo hakuna wasanii wanao trend kuzidi wa wcb, pia ongezea na Navy kenzo, ni hatar sn
  14. S

    Ni muda wa diamond platinumz kutembelea nyota yao

    Si kila linalosemwa na mange kimambi nila ukweli, mengine ni chuki tu dhidi ya diamond, kama sky ameanzisha dizzim tv atashindwa diamond, kuna vitu havi make sense, wenye kujua ukweli ni management na watu wao wa karibu na diamond
  15. S

    Diamond ,babu tale wampiga dongo baya fid q

    Fidq kazingua sana ki ukweli, hapo ndo angefurahia matamasha yawe mengi ili atengeneze pesa, SD
  16. S

    Naombeni msaada, nahisi kukata tamaa ya maisha

    Kwa nn ukate tamaa wakati waoaji sisi tupo, kama vp ni pm
Back
Top Bottom