haya mambo mbona hayamkuti denzel washington, au morgan freeman?
kuna ukweli kuusu wazungu kushughulikia blacks, ila weusi wengi maarufu ni watu wa hovyo honyo, inakuwa simple kushughulikiwa na mifumo
Usimsamehe huyo mtoto wake ndio mwizi mwenyewe , walijua utachukulia poa ,familia yao ikaona mama atateseka.. Wakaona bora wakuludishie
wafunze adabu hao
Huyu mama alikuwa anataka kuwarubuni chadema waache kuongea ukweli na maovu yake kwa kisingizio Cha maridhiano, ila kwenye dp world chadema wameweka uzalendo mbele
Baada ya kuona chadema hawanunuliki kindezi Kama act , ccm wamerudi kwenye factory settings yao, ya siasa za kimagufuri ,,ndio...
Ccm sometime wana akili kwa geographia ya kusini magharibi kwa gari hata wilaya moja umalizi kwa siku.
Pili wananchi wengi wa milimani hawajawai kuona chopo , kutua na chopa kungeongeza mwamko kwa wananchi
CCM wakaona usiwe tabu wakatia mpira kwapani
Kuna kipindi nilitaka kujitupa kwenye maji nife mitaa ya seaview, hapo nakaa kwenye apartment kali uko seaview
Ukinicheck unaweza kusema jamaa kayapatia, ila nikukupa matatizo yangu unapasuka kichwa hapo hapo kwa kuwaza
Ila mungu mkubwa nilishinda mtihani wa kutaka kujitupa kwenye maji .kwenye...
Shaggy ana ladha zote za club na slow flani za kusikiliza ukiwa umetulia
sean ngoma zake nyingi ni club banger.. za kuamsha hamsha. Ila jamaa ni balaa, kuna kipindi nilikuwa namwiga mpaka mavazi
Ila nampa shaggy six out of ten.. Kuna ngoma nikisikiliza roho yangu inatapa buruduni ndani kabisa
njie ccm achane kupambanisha tembo na sisimizi, hii promo unayoipa uwt iliyojifia na taasisi yoyote ya chama(chadema) chenye uwezo wa kafanya mkutano wa siasa muda wowote , ni kupoteza muda
Mbona kama mti wa mbaazi hauhusiki na chochote katika uchawi, naona ni mapepo na majini tu , yanataka uoneshe kwamba unayatii ili yakufanyie kazi zako
Ila mbaazi unausingizia tu, hauna chochote , iyo ni mboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.