Nafikiri tumechoka na huku kukamatana kamatana kwa ovyo. Hoja ipingwe kwa hoja. Hapo ndio tutajenga demokrasia ya kweli. Wao watawala wanakamatwa na nani pale wanapokosea na kupotosha makusudi?
Ni kiongozi mzuri, mfuatiliaji na mbunifu. Hata hivyo anatakiwa kupunguza jazba. Ajifunze pia kuwa na akiba ya maneno na kuepuka kutumia nguvu kupita kiasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.