Chadema si walikuwa hawamtambui kikwete? vipi leo mnapiga magoti mbele ya kikwete nanyi mlisema hatamaliza miaka 5? CHADEMA WAMEISHA TIWA KIDOLE CHA ******, wamechemsha mapema namna hii.
CHADEMA wanafadhiliwa CDU, Christian Democratic Union ili waeneze ukristo, chama cha kidini hiki. hata makao makuu ukienda pale kuna SANAM ya BIKRA MARIA.
TV hii imekuwa ni kawaida yake katika kuonesha na kuripoti habari za chama cha wanainchi CUF imekuwa ni kawaida kutoa picha ambazo lengo lake ni kuwakatisha tamaa wafuasi na wanachama wa CUF Kwa kupiga picha za pembeni kabisa ya mkutano sehemu yenye umati wa watu huwa hawapeleki Camera...
CUF ndio waalimu wa siasa za Tanzania mambo yote ya chadema kutoka katika vikao wanaiga CUF tofauti CUF wakisusia vikao huwa hawachukui posho, CHADEMA huwa wanavuta mkwanja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.