Mwanzoni wakati nasomea taaluma ya psycholojia sikua nafahamu dalili halisi za ugonjwa wa akili. Siku moja nikasikia Felix Mkosamali anasema Watanzania wakiichagua tena CCM tunahitaji kutafuta Consultant wa kupima watu akili. akimaanisha diagnosing people's intellectual capability. Sikuwa...
Haya wapendwa, Waziri akijiuzuru bila kuishi keko au Segerea haina maana, wataingia wataiba, alafu wataambiwa warudishe, watajiuzuru yataishia hapo. Lakini wakiishi miaka kadhaa Segerea wengine watajifunza.
Wewe unayatefuta spare za Pajero Jr, nenda Diamond motors Pugu Road kuelekea airport upande wa kulia. Uliza kitengo cha spareparts na omba kumwona bwana Emmanuel. Atakusaidia kupata spare unayohitaji. Endapo hutaikuta utaambiwa kutoa advance alafu wataiagiza na itakufikia ndani ya siku 14 au...
Dr. Slaa anaambiwa kutubu... je toba ya walionunua rada ya magumashi ilisikilizwa na nani? Chenji ya radi iko wapi? Nasikia imenunua vitabu vyenye makosa kimantiki. Ama kweli Fungu la kukosa .... ni la kukosa.
Wao wanalinda ajira, kazi hawafanyi. kama wewe unaendelea kuuliza maslahi kwenye ripoti, kalagha bao. Maslahi yao ni kuuza ubuyu na vitenge vya kukopeshana. kama kweli wanafundisha watoto wangekuwa wanafaulu mitihani. Kwa vile wanalinda ajira... wanafika kazini kusaini daftari la mahudhurio...
Bomoa daraja, alafu tuone watapitia wapi. Walioshindwa kidata cha IV ndio wanaofundisha watoto wa shule ya Msingi. Kwa maana hiyo mwanafunzi anayefaulu darasa la saba anaongozwa tu kujipeleka sekondari.
Haya wapendwa wasomaji wa Jamii Forum,
Mimi siyo mchokozi, ila napenda kutoa maoni juu ya haya yafuatayo:
Baada ya kushuhudia makanisa kuchomwa, Dar es Salaam na Zanzibar na kwingineko, na baadaye tunaona mashambulizi kwa Mapadre wa Kanisa katoliki. Wa kwanza alipigwa risasi akanusurika...
Jamaa Nchimbi alipewa Poor Hair Distribution yake mwaka Jana pale Mzumbe Main Campus Morogoro. Napenda nikukumbushe kwamba siku hizi vyuoni kuna uozo mkubwa. Ukiwa na pesa yako unapata Degree ukiwa nyumbani. Assignment inafanyika na anayeifanya ndiye anayeisahisha na kukupatia marks. wewe unapo...
Kukurupuka kwa Nchimbi ni wasifu wake. Na hata hivyo unaweza kugundua kuwa kuwa wasifu huo pia uko kwa viongozi wengine ambao wanajiona Mungu mtu. Mfana yule anayetishia kufuta chama cha siasa; kisa eti ana mamlaka kisheria. Kwa ufupi huu ni baadhi ya wasifu wa viongozi wa serikali ya CCM...
Miaka fulani nikiwa katika Sekondari nilisoma kitabu kimoja cha Riwaya kiitwacho KULI kilichoandikwa na Adam Shafi. Muhusika mkuu katika Kitabu hicho anaitwa Rashidi. Alipambana sana na udhalimu wa wakoloni akiwa anafanya kazi bandarini, kwani Ujira- yaani mshahara ulikuwa mdogo. Alifkisha...
Daktari akiwa "Night Duty" posho yake haifiki hata laki moja kwa usiku mzima. Leo hii Mbunge analipwa msharahara usiopungua milioni 7, na leo hii anaomba Posho ya inayozidi laki mbili. Posho ya siku moja ni zaidi ya Mshahara wa mtumishi wa serikali wa kima cha chini.
HIvi Kazi ya udaktari na...
Njoo kwangu uone mabadiliko kama kwako hayapo. Maana sina uhakika kama kweli ulimchagua Mnyika? Acha kujipendekeza, mlijaribu kuiba kura za mnyika mkashindwa kwani zilikuwa nyingi mno. Badala yake mkaanza kujipendekeza kwamba mlimchagua. Kafie mbele huko kama kwenu hakuna mabadiliko. Hata hivyo...
Haya Wapendwa, Huyu jamaa anayesema kuwa Mh. Mnyima hajafanya kitu chochote nadhani ana lake jambo. Nilidhani watu wanaotoa mawazo ndani ya Jamii forum wana akili timamu kumbe hata nguruwe watu nao wanashiriki kutoa mawazo. Ubungo ni jimbo linalokuwa, miundo mbinu haikuwa mizuri miaka mingi...
<br><br>Kimsing TRA ni chanzo cha kukosekana kwa mapato. Ni rahisi kupata TIN lakini mchakato wa makadirio ya mapato unatisha kiasi kwamba unaanza kujiuliza kama unaanza kulipa fedha nyingi mwaka wa kwanza wakati biashara inafikirika, je miaka ijayo itakuwaje? Nakushauri ufuatilie taratibu za...
Kimsing TRA ni chanzo cha kukosekana kwa mapato. Ni rahisi kupata TIN lakini mchakato wa makadirio ya mapato unatisha kiasi kwamba unaanza kujiuliza kama unaanza kulipa fedha nyingi mwaka wa kwanza wakati biashara inafikirika, je miaka ijayo itakuwaje? Nakushauri ufuatilie taratibu za kupata TIN...
Hi guys
If you want to become a highly paid man, struggle to become a politician. You are likely to be among the top fifteen who are highly paid in the world.
Chao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.