Viongozi wa CCM wanasumbuliwa na hofu inayoletwa na siri ya matendo yao maovu. Ukifanya tendo lolote ambalo hutaki lijulikane utajitahidi kubadili vigezo na kanuni zote ili siri zako ziendelee kuwa salama. Kwahiyo tatizo ni hofu kubwa ya siri za matendo yao ya kifisadi. Ndiyo maana Mkapa...
sasa hali hiyo haileti masikitiko tu bali inatia hasira kali. to hell with ccm, to hell with kiqwete, to hell with gold barricks. ccm siku zako zimehesabiwa na kubainika kuwa zimekwisha na badala yake unaishi na kupumulia muda wa mkopo
Tulizoea hekuma za Kambarage, tukaja matusi ya Mkapa sasa tupo kwenye hotuba za kipumbavu kuliko hata zile za Idd. Graph inashuka hivyo. Je, na sisi wana Arumeru tuna correlate na hiyo trend? Kama ccm ikichukuwa hilo jumbo itakuwa proof ya hiyo correlationship -- uwiiiii twafa!
Je, watanzania...
mwaka jana CCM ingeweza kumpitishia bwana shimbuda kuwa mgombeaji mbadala ya kikwetwe naamini isingefanya haya madudu machafu kabisa kama rijitu hiri kazi kuzurura rikiombaomba na kopo la matonya mkononi. hovyo kabisa
Wewe Koleo ni mvendavazimu, unatumia ribusama kufikiri... Kuna kitu kinakuwasha kusikia utawala wa kishakaji unaostawisha genge la misafidi na milafi kama veve uakaribia ukingoni na hauna dawa ya kujiponya. Utapasuka moyo bure kwavile hiyo unayoona ni mvua za rasharasha, za masika bado.
wandugu naomba kuongezeka rasmi kwenye forum yenu... wasifu wangu; napenda mijadala yenye kutumia akili, ila nachukia sana michango ya wanaotumia ri-bu-sa-ma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.