Hello wanaJF!
Mi ni kijana ambaye nipo nje ya nchi kimasomo na muda sio mrefu nitarejea nchini kuanza maisha rasmi. Sasa nilikuwa nafiiria sana swala la kujiajiri either kwa kuanzisha biashara or kufungua kampuni ya kutoa services mbalimbali. Kwa upande wa biashara nimeshaanza na kwa sasa...
Ningependa kutumia fursa hii kushirikiana na watanzania wote popote mlipo katika kupeana mawazo na kutatua matatizo hasa yale yanayohusiana na Computer, Communication nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.