Search results

  1. R

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Kiongozi wetu awe macho na wanasiasa wanaojipendekeza eti hatuna haja ya misaada ya mabeberu .Kwani mabeberu wakitushauri tuwe na utawala bora ,tuwe na demokrasia iliyotukuka,tuwe na tume huru ya uchaguzi itakayotuhakikishia impartiality yaani bila upendeleo wa chama kimoja tubadirishe katiba...
  2. R

    Maalim Seif achukua fomu ya Uenyekiti ACT-Wazalendo

    Wapinzani wakitaka kutetea mabadiriko ya katiba na kutetea demokrasia iliyodolola kutokana na chama tawala kutaka kushika hatamu zote za uongozi.Inatakiwa wawe na alliance ya kuungana na vyama vingine wawe na common goal ya mabadiriko.Waachane na kujipersonalise wawe na coalition yenye nguvu...
  3. R

    Lugola akalia kuti kavu ndani ya CCM

    Swala la Lugola bado alijaeleweka au alijawekwa sawa wana CCM kuanza kumuhukumu moja kwa moja.Wangesubili Takukuru ifanye uchunguzi itoe ripoti kilichofanyika source yake ilikuwa namna gani.Viongozi wa CCM Mara wangetoa mifano mizuri ya Mwalimu Nyerere aliyokuwa ikiitoa katika hotuba zake kama...
  4. R

    Dr. Angella Mabula (The Lady) atoa somo zito

    Huyo Mama Mabula ni mama mwenye bidii ana vision nzuri kuliko hata boss wake,mkatoriki aliyetukuka hawezi kufoji vyeti au kununua kama alipata Doctorate ni ya kweli
  5. R

    Kama Serikali imepeleka miswada kadhaa kwa hati ya dharula, kwanini isipeleke wa kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi wenye maslahi mapana kwa Taifa?

    Tume iliyopo sio huru kwa kuwa inateuliwa na kada wa chama kimoja kwa mujibu wa katiba iliyopo ambayo haijarekebishwa iandane na mfumo wa vyama vingi.
  6. R

    Kumbe Lugola alichosaini ni Memorandum of Understanding (MOU) na sio Contract! Magufuli hajui kuwa MOU haina nguvu ya kisheria?

    MOU is contractual obligations between two parties.Je Mwanasheria mkuu wa serikali alikuwa wapi ?.Kusaini MOU kwa kiasi hicho bila kumuhusisha Mwanasheria wa serikali ,it is questionable
  7. R

    Uchaguzi 2020 Mshituko: Wananchi Kigoma mjini wamtaka Prof. Joyce Ndalichako

    Mbona walimu wanalia kila kona kuhusu masilihai yao amewatetea kwa kiasi gani ?.Volume ya kazi ni kubwa anachoka kuhudumia wanafunzi zaidi ya uwezo wake.Wastaafu hawapati in time mafao yao,kupandishwa madalaja ni shida,Ajira ni taabu .Vitisho kwa walimu ni shida au shughuri za Jaffo yeye ndie...
  8. R

    Rais Wa Barrick: Watu walivumisha kuwa Tanzania inasumbua wawekezaji, Napenda kuthibitsha kuwa kinachofanywa ni sahihi kwa manufaa ya pande mbili

    Watanzania waliowengi hawana uelewa wa sheria za mikataba.Ingefaa mikataba ya aina hiyo kupelekwa bungeni nakuwa debated na wawakirishi wa wananchi.Kwenye bunge wapo wanasheria wengi lakini mtu ambaye hajui chochote kuhusu sheria za mikataba ku comment ni tatizo
  9. R

    Waziri wa Elimu, walimu wananyanyaswa upo kimya, kazi yako ni ipi?

    Muombe radhi Geracius Byakanwa yeye ni RC wa mkoa wa Mtwara sio DC wa HAI.Aliye DC wa HAI ni Sabaya.Kichana huyo kama alifanya hivyokwa Mwalimu atakuwa amekihuka haki za binadamu ajirekebishe au Mwalimu huyo ampeleke kwenye vyombo vya sheria
  10. R

    Fatma Karume achambua suala la Barrick/Acacia & makinikia

    50/50 of economic benefits ni kama watanzania kupata ajira,kuimarisha miondombinu sehemu wanakochimba madini hayo,.Serikali itapata Divided ya hisa zake 16% basi Once they get profit. .Regarding Net profit or loss will be determined by operations na expenditures za kampuni serikali inapata au...
  11. R

    Rais Magufuli: Upinzani wa sasa umebadilika

    Wale wanaohama vyama malengo yao niya masilahi zaidi wasitegemee uchaguzi unaokuja watatoboa kupitia kura za debe wananchi watajali zaidi wagombea watakao watetea sio hao wanaojali zaidi matumbo yao.
  12. R

    Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

    Kama kweli huyo Njaga Majuto Hussen amesema hivyo anajipendekeza kupata cheo .Sampuli ya afisa kama huyo hana mchango wowote kuendeleza elimu Iringa
  13. R

    Tukubali tukatae Tanzania ni taifa la shamba la bibi

    Upigaji sio wa kabila fulani wapo wengi ambao wamejificha. Sio sahihi kutumia tribal sentiments kuwaonea wananchi wa kabila fulani waonekane kama kielelezo cha ufisadi Tanzania.
  14. R

    Kangi Lugola umekosea sana kumfukuza Kamishna Jenerali Juma Malewa Mkutanoni mbele ya kadamnasi

    Bado kuna viongozi wa umma wanaopenda kudhalilisha watumishi wa umma na hata wadau wanaotoa huduma mbali mbali serikalini.Wanatumia character assassination hili waonekane mbele ya umma kuwa they deserve integrity of high quality.Wanapenda kuhukumu pale pale hadhalani lakini ukirudi nyuma unakuta...
  15. R

    Tundu Lissu: Wadhamini hawawezi kunirudisha Tanzania, nitarudi nikihakikishiwa usalama wangu

    Kazi ya Mahakama ni kutafusiri sheria.Hakimu aangalie sheria inasemaje badala yakuwashughurikia wadhamini wa Lissu.Je sheria inasema hivyo.
  16. R

    Halima Mdee na Esther Bulaya watakiwa kujieleza kwanini walienda Afrika ya Kusini bila kibali cha Mahakama

    Kwani siku iliyotajwa ya kuudhuria Mahakamani hao wakina Halima na Bulaya walikosekana mahakamani ? kwa kutatiza Mahakama ishindwe kusikiliza kesi yao.?
  17. R

    Kasi ya utendaji wa Rais wa awamu ya tano inawabeba watendaji wake wengi mno na ni hatari sana wakibweteka

    Wameisha bweteka unategemea kubweteka mara ya mpili.Yule kijana wa Munauye Moses alipowatetea wapiga kura wake wakulima wa korosho wapo wenzake waliomubeza lakini jamani ni wabunge wa aina gani wanaopewa kura wakienda bungeni hawatetei wapiga kura wake wanaishia kuunga mkono ,hawathubutu kuuliza...
  18. R

    Sioni umuhimu wa Mtumishi kuandamana sherehe za Mei Mosi 2020 haswa kama mgeni rasmi atakuwa Rais

    Kumbe mwananchi awe na ufahamu wa kuchaguwa vizuri yule atakaye kwenda sehemu za maamuzi kuwa mtetezi wake.Kama wewe ni mkulima,mfanya biashara ujuwe wale unaowachaguwa kama diwani mbunge anawatetea kwa kiasi gani au anakwenda kuunga mkono kwa kila kitu .mia kwa mia.Kama nyie ni watumishi wa...
  19. R

    CHADEMA 2015 mlikosea kuteua mgombea Urais naona mnajiandaa kurudia kosa?

    Badala kumugandamiza kwa kesi tumushukuru Mwenyezi Mungu kwa kumuponyesha kifo .Kama bado wapo wanaomutakia mabaya wangetubu na Mungu atawasamehe.
Back
Top Bottom