Yusuph umekuwa driven na emotions....ukasahau kufuatilia sababu zilizomfanya Kitenge asimtaje Manji.
Kwa kuwa umeshajibiwa basi tuliza mzuka,Manji haandikwi na chombo chochote cha IPP Media na itaendelea kuwa hivyo hadi mahakama ielekeze vinginevyo.
Lkn hata wasingetangaza matokeo tulikuwa...
Kwa jinsi ulivyoandika na kiswahili chako kilivyo kibovu unaonekana mtu wa hovyo hovyo.Uko rough and disorganized!Na utajulikana muda si mrefu,alafu itaku-cost.Una akili ndogo.
You are alive because it is illegal to kill.
Sasa atulie na aidai ile zawadi yake iliyozuiliwa na MCT baada ya kushinda tuzo ya uandishi bora.Nasikia na TBC One walimsimamisha kazi bila kufuata utaratibu wa kisheria.Atuone wataalam wa sheria za kazi tukamsaidie mara moja.
Asimame tena na kufuta vumbi kisha asonge mbele na maisha.Lakini...
Nngu007 si ungeandika kiswahili tu?makala imeandikwa kwa kiswahili ktk Raia mwema,hapa jamvini imeletwa kwa lugha hiyo hiyo...ww unakuja kuchangia kwa kiingereza mbofu mbofu..ili iweje?
Uzembe ulioje.Unastahili kuchapwa viboko.Huwezi kuacha laptop kwa mtu usiyemjua.Huu ni uzembe uliokithiri.Nikueleze kuwa inabidi utulie ukanunue laptop nyingine.Hata utume tigo pesa au mpesa haitakusaidia maana watu wana line zaidi ya moja.Hilo gari wamebandika namba za bajaj na yawezekana sio...
Pole sana Shark kwa kukatwa senti zako.Nakushauri uende duka lolote lililo jirani na ww wataitoa hiyo huduma usiyoitaka na maisha yatasonga kama kawa.
Nashauri pia uwe na ukomavu wa fikra kuliko kukurupuka na kutukana kampuni nzima.zile promo huwa zinarushwa redioni kwenye tv na mwishoni huwa...
Deo ukimtazama kwa jicho la tatu utagundua sio kiongozi mwenye fitina na itikadi za wana magamba...ana mtazamo na maono tofauti na wana magamba wengi..
Lkn kuna wakati huwa anapitiwa na kuwadhihaki wabunge wenzake wa CDM....akijirekebisha ktk hili atakuwa na nafasi kubwa mbeleni...ktk serikali...
Great thinkers,
Katika uchaguzi mkuu mwaka 2010 idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha na wale waliokwenda vituoni siku ya uchaguzi inafikirisha sana.Watu wengi hawakwenda kupiga kura.
Tujiulize ni kwanini.
1.Rafu za wasiotaka kushindwa ambao hununua kadi za wapiga kura na kuzitupa...
Great thinkers mmemuona mgombea ubunge Igunga kwa tiketi ya UPDP...jamaa ni kituko..katoa vichekesho kibao..lkn ninachokikumbuka ni pale aliposema vijana wanaota jua kama solar power...akisema atatoa ajira kibao
Hama mitaa hiyo great thinker.watu wapo nyumbani kwa
wanaburudika na nyie majirani mnasikia?huko ni uswahilini mno na hapafai kukalika.
Kama una watoto mitaa hiyo itawaharibu
Kuwasusia vodacom ni kuwaonea. Hata Zitto amenishangaza sana kuizima simu yake kisa eti anawaadhibu vodacom. Badala ya kujiuliza na kutafakari kwnn meli ya mizigo ibebe abiria tena kwa ujazo usiotakiwa tunawalaumu vodacom. Badala ya kumbana mkurugenzi wa bandari zanzibar kwa kuruhusu uozo wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.