cha kuuliza si kama ni chadema wameshinikiza wauza mafute wagome, ni kujiuliza ya kwua kwanini chadema hawajawashinikiza wananchi waandamane dhidi ya wauza mafuta hata ikibidi wachome vituo vyao maana mateso halizi ya mwananchi wa kawaida ni haya tunayoyaona sasa. kama kweli chadema wanatetea...
mjinga ni wewe usiejua wenye nguvu ni nani, eulikulia kijijini na kusomeshwa na pesa za bodi na kisha unatuhumu serikali iliyokupa fursa hiyo kwa mikopo hiyo, bad manners!
nawewe umekuwa kama yule wakili wa arusha msando alieporwa kila kitu na machangu aise! unatutia aibu wana JF! siku ingine ukiibiwa unaminya, wewe ni mtu mzima ati!
Duh! naiminia JF! taarifa niulizonazo tayari mkuu wa mkoa wa kilimanjaro amesitisha uuzwaji wa nyumba za kiwanda cha kahawa huko moshi, kumbukeni taarifa zilipitia hapa JF kuwa mwenyekiti wa bodi ya kiwanda hicho alikuwa anampango wa kuuza nyumba hizo kifisadi kwa mfanyabiashara mmoja wa...
wala msihofu, madiwani karibuni sana CUF! nyinyi ndiyo mnajua wanachotaka wananchi, si malumbano na maandamano balli maendeleo, leo wenzetu wazanzibari wanatupita.
kwa cv yake fupi january ni mwanadiplomasia kitaaluma. alichukua mikoba ya jairo kama msaidizi wa jk baada ya jk kupata uraisi 2005 akaonelea asindelee na jairo aliekuwa msaidizi wake kwa miaka mingi. aliamua kumpa ukatibu mkuu kama asante ya kumsaidia kwa miakamingi. fununu ni kwamba january...
wewe unasema ajivue gamba? wenzako majira hawajalipwa mwezi wa 5 sasa haswa wale wa mikoani na tayari wameanza kuwasiliana mikoani wagome kutuma habari kuanzia wiki ijayo. hapa iringa wamekuwa omba omba kwa watoa habari wao, unatarajia mtoa habari aandikwe vibaya? na ndiyo maana magazeti ya nje...
mtatutoaje wakati mshaanza kuwania nafasi ya kugombea uraisi tena kwa ukabila? wachaga tuuuuu! mzee mtei anamtayarisha mkwe wake juzi wamefanya kikao cha siri bila slaa wala zitto na agenda ni kuwazuia hao wasigombee. tena wakamshirikisha ananilea nkya wa tamwa ambae alimtukana rais kuwa mpenda...
Huyu jamaa ana mengi yanayomsibu, ndiye mtetezi mkubwa wa majambazi yanayokuja kutumvamia hapa nchini kutokea kenya, ana skendo kubwa huko moshi kuhusu malipo ya halmashauri moja ambapo alikula mamilioni ya shilingi, ila moja kubwa anakula na baadhi ya waandishi wa habari haswa wa huki moshi...
Swala la meremeta ni jeshi na usalama wa taifa, msituletee balaa! hawa jamaa wakiamua kutoka kama wanaotoka na kunadamana tutaipata! waacheni wenye nchi hayo ni ya kwao!
Kwa kweli nadhani hujui maana ya baishara huru wanaruhusiwa kuja lakini hawataki kwa vile watanzania mmezoea kusoma magazeti ya udaku. na pili mapenzi na magezti ya nje ya nini? ona vile mwananchi wanavypotosha habari. kumbuka mwananchi ni la wakenya yaani nationa na taifa leo na magazeti hayo...
SASA wana JF tunaenda pabaya! mmefikia kuingilia hata jeshi? hii ina maana hata hicho mnachotafuta hamtakipata. muulize Dkt. Slaa alichoambiwa mpaka akaacha kuizungumzia meremeta. jeshi ni jeshi, wale hawavai kumbati kama za mbowe! hawana utani tuzungumzie mengine.
CCM! CCM! CCM! hamtaiweza na mtazeeka mkisema hivyo hivyo, aliishindwa mababa zenu sembuse nyinyi? sana sana mtapigwa mabomu, mwishie kupata vilema bila sababu! kisa? kuwatafutia watu ulaji!
Kama hutaki kukanyagwa usipande daladala, umesoma ya nini? sisi tunatoa majibu ya maswali yaliyoulizwa, kwani lema kufanywa ki zanzibar inakuhusu nini? hakuna aliemtuma akaibe!
Sasa nakupa ukweli zaidi....lema, ndesamburo na mbowe wanajificha kwenye kichaka cha siasa ili wapate hifadhi! lema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.